Tengeneza Njia
Senior Member
- Jul 29, 2022
- 121
- 205
Jamani ni mimi au na wenzangu mmeona hiki!
Mimi ni mdau mkubwa sana wa chaneli ya Clouds kwa muda mrefu sana, lakini naona siku na miaka inavyoenda ubora(si wa vipindi pekee) na hata muonekano wa baadhi ya vipindi vyao umedorora! Issue ni budget, kukosa creativity au ndo dalili za kukata tamaa?
Mfano, kile kipindi cha kina Kipanya cha jioni(kuna siku mara wanagombaniana Oreo za KFC na yule Harris), wageni waimbaji wanaimba nyuma ya kitambaa cheusi, yaani quality ya muonekano ni doro kwa kweli! Ni kheri tubaki tu kuwasikiliza sauti zao badala ya kuendelea kuona tunavyoviona.
Tukiwa tunalipia ving'amuzi kuangalia cheneli tunazozipenda, basi na media mjitahidi kutupa kitu kinacholingana na gharama za mteja anazolipia, plus muende na kasi ya kidigitali iliyopo!
Mimi ni mdau mkubwa sana wa chaneli ya Clouds kwa muda mrefu sana, lakini naona siku na miaka inavyoenda ubora(si wa vipindi pekee) na hata muonekano wa baadhi ya vipindi vyao umedorora! Issue ni budget, kukosa creativity au ndo dalili za kukata tamaa?
Mfano, kile kipindi cha kina Kipanya cha jioni(kuna siku mara wanagombaniana Oreo za KFC na yule Harris), wageni waimbaji wanaimba nyuma ya kitambaa cheusi, yaani quality ya muonekano ni doro kwa kweli! Ni kheri tubaki tu kuwasikiliza sauti zao badala ya kuendelea kuona tunavyoviona.
Tukiwa tunalipia ving'amuzi kuangalia cheneli tunazozipenda, basi na media mjitahidi kutupa kitu kinacholingana na gharama za mteja anazolipia, plus muende na kasi ya kidigitali iliyopo!