Clouds wana shobo na Alikiba hadi wanaboa

Ha ha ha ha mkuu unaonekana kama wa uswahilini vile.......ukiweka hiyo maana sentensi yote inakua haina maana
Hahahahahaha. Nipo kawaida tu mkuu. Ila umesema wewe HUNA TIMU, wkt ukiisoma thread yako ipo uchikabisa kma wewe ni timu pinzani na mshkaji.
 

Kwenye post yako unasema huna utimu lakini contents zinaonyesha unaumia sana nyimbo za alikiba wakiziplay, kwani kupiga nyimbo za alikiba ni kumshusha diamond?

Je wangepiga nyimbo za diamond kila nusu saa ina maana ni kumshusha kiba?

Kwani Tz kuna wasanii wangapi mpk nyimbo za alikiba zimshushe diamond pekee je hao wasanii wengine hawaathiriki?

Kitu gani hasa kime indicate kwamba wanamshusha Diamond na kumpandisha alikiba? Ni kupiga nyimbo za alikiba kila nusu saa? Ingekuaje kama wangepiga nyimbo za aslay au Janjaro kila nusu saa ingemshusha nani hapo?

NB: sikusikiliza clouds maswali haya yametokana na post yako
 
Kipindi diamond hajakosana nao walikua wanambeba kama hivyo, utakuja wakati hata Alikiba hatosikika kutakua na mwingine.
Walizinguana na jay dee, ruby na saaiz na dmond!!...nafikir wanashida hawa
 
Kwani ulilazimishwa usikilize nenda wasafi tv au domo ajakuambia kuwa sasa anamiliki ktv chake
 
Ukitaka nawe ufanikiwe basi mpende aliyekuzidi!
Kumchukia aliyekuzidi ni kujididimiza mwenyewe
 
Sidhani jamaa. Tunawajua vizuri clouds
 
Umasikini wa mawazo unakutesa.

Ukiona tangazo la blue band itv linarudiwa mara kwa mara inamaana itv wanashobo na blueband??

Jua tu kuwa huyo Kiba ni busness na business anayofanya inahitaji promo ya maana kama hiyo.
 
Hatred is new form of slavery khaaa kumbe kanye hakukoseaa aliposema kuwa waafrika tulipenda wenyewe kuwa watumwa khaaa sasa ww huwapendi clouds why unawafatiliaa si utumwa huo??humpendi kiba why cant you turn off your kimeo?? Mnachosha walimwengu fungueni zenu mzipangieee cha kfanya[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ya diamond yametoka wapi? mm naongelea kwa wasanii wote hapa kuna kua kama kuna matabaka ivi km kuoa mbna hata stamina kaoa ila hajaalikwa
Unaposema mbeleko ya chuma una maanisha nini?
 
Ya diamond yametoka wapi? mm naongelea kwa wasanii wote hapa kuna kua kama kuna matabaka ivi km kuoa mbna hata stamina kaoa ila hajaalikwa
Unaposema mbeleko ya chuma una maanisha nini?
 
Ya diamond yametoka wapi? mm naongelea kwa wasanii wote hapa kuna kua kama kuna matabaka ivi km kuoa mbna hata stamina kaoa ila hajaalikwa
Unaposema mbeleko ya chuma una maanisha nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…