Clouds wana shobo na Alikiba hadi wanaboa

Wanataka kumshushaaaa Mondi ili apoteee kweny raman ila mondi ndo kiboko yaooo....Simba n fireeeeee
Nashangaa watu wanalialia na CMG! Kwani Wasafi Media imekufa!? Huyo Simba si atumie hiyo, ?
 
nikki mbishi hana meneja hata msipopiga mawingu ngoma yake..tutaisikiliza magetoni na wana.
 
Kweli kabisa clouds mnaboa sana na huyo ALIKIBA mpaka nikatakni niwablock Instagram. Hamna story nyingine?
 
Kwamba mnadhani wanafanya hivyo free tu kwasababu wanampenda au ili wamshushe Mondi,.. Hahaha!!!!
I need a dumbrella, It is too dumb in here,..
 
Io ni Biashara Kama Biashara zingine
Ndani kuna alikiba na mofanya sooo is business young boi
 
Mbona mna negativity sana, biashara ya ushindani hii kila mmoja anataka awin market. LENGO SI KUMSHUSHA MOND BALI NI KUMPA STIFF COMPETITION KITU AMBACHO HATA YEYE ANANUFAIKA NACHO KUMFANYA ATIE JUHUDI ZAIDI,UBONGO HAULALI.
Ili waweze kubaki at the top lazima kuwe na ushindani, kiba kalipia shoo sio bure
 
bu
Io ni Biashara Kama Biashara zingine
Ndani kuna alikiba na mofanya sooo is business young boi
bussness interview robotatu wanaulizana ndoa ? kuna mtu asiyejua ndoa?
 
uli
ulichoandika chenyewe ukijui cheki spelling kanye hakuongea uo utumbo uliouandika
 
Upo sahihi mkuu..
 
we jamaa hayo maneno uliyomalizia hapo chini bora tuu ufute maaana sii kweli kabisa huwez kuwa neutral then unamaind kisa media inafanya kazi yake
kesho wakimweka msanii mwingine utamaindi tena au utakaa kimya na kesho kutwa wakamweka msanii mwingine utamaind au utakaa kimya NAOMBA MAJIBU

then mbona inpotokea kitu kama kifo mtu maarufu kafa media inamweka on air siku nzima na nyimbo zake siku nzima and you dont talk i beleve kitu kama hii utaona ni vizuri kumpa heshima marehem
kwa nn waona shida kuapreciate kitu cha mtu akiwa hai afu unaanza kusifia wakati hayupo hi naita unafkii NonSense
katika siku 365 za mwaka wametumia japo siku moja unamaindi WTF.....
kama wewe una mambo za team nani sijui nani bora tuu ukae kimya au uje na facts za maana
alafu endelea kukaaa ukisubiri Mond apotezwe utasubiri sana mzee baba sijui kama uliwah sikia simba amepotea porini
ila mimi sijawah sikia

KIUFUPI HAWA JAMAAA WANAFANYA VIZURI TZ NA NJE YA TZ
AM NOT SURE KAMA CLOUDS HATA INASIKIKA NCHI NZIMA ILA KWA HAPO WQANAPOSIKIKA WANAPATENDEA HAKI

GOOD JOB CLOUDS MEDIA MNASAIDIA KUPAZA MZIKI WETU KEEP IT UP NA MWONDOE UBAGUZI KAMA MNAO
 
Unafikiri ni Bure???weka pochi Nene mezani..alafu(nanong'ona )hivi lile lihereni alilovaa Diamond si mapigo ya marehemu Prince Chokozzz eehh
 
Ya diamond yametoka wapi? mm naongelea kwa wasanii wote hapa kuna kua kama kuna matabaka ivi km kuoa mbna hata stamina kaoa ila hajaalikwa
Inaonekana industry ya mziki hujui vizuri...hata sound city ya Nigeria kuna muda inakuwa na wizkid day, davido day.
 
Kwani ulilazimishwa usikilize nenda wasafi tv au domo ajakuambia kuwa sasa anamiliki ktv chake
Huwezi kujenga hoja mkuu!! Hadi ujib kama mtu asiye na weredi....cpo katka timu aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…