Duh! hawa watu kila mwaka wanachungulia kaburi,hawafi tu!?Clouds media inachungulia kabuli wanajaribu kurudisha upepo hila ndio too late.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! hawa watu kila mwaka wanachungulia kaburi,hawafi tu!?Clouds media inachungulia kabuli wanajaribu kurudisha upepo hila ndio too late.
Hakuna permanent condition,huenda bifu limeisha mkuuMkuu ina maana hii bifu huijui?
Vip konki master anasemaje?
Hakuna bifu hapo, mmiliki wa Clouds na Wasafi ni yule yule. Ni kweli watu wanachezewa akili...Mkuu ina maana hii bifu huijui?
lete update hakuna nyimbo nyingine iliyochezwa"Hodari wa mapenzi ya Kwake Mbosso kutoka WCB Wasafi ndo imekua Burudani yetu ya kwanza ndani ya Jahazi la Clouds FM,Naitwa George Bantu niko na Empraim Kibonde pia Dj Too short utamsikia kwenye Mseto Perfect,Mdogomdogo mpaka saa1",,Ni sauti nzito kama uji ya George bantu iliskika akitambulisha Kipindi cha jahazi mida ya saa10 iliyonifanya nijiulize maswali,Hawa Clouds Si hawachezi ngoma za pale WCB zote pamoja na Collabo zao,iweje wacheze nyimbo ya Mbosso au bifu ndo limeisha?WameichezaHodari tena wanaisifia kabisa kina Kibonde!!!Hii imekaaje wadau?
Bado mkuu,but nafuatilia ucwaze,,but leo wakati XXL inaisha nilimsikia Kenedy the remedy akimuuliza Mchomvu kuhusu burudani ya kwanza ya leo jahazini kiutani lakn,Mchomvu akamwambia ni Suprise,but hawakupiga ya WCB,,Time will Disclosurelete update hakuna nyimbo nyingine iliyochezwa
Mkuu JAHAZI NA XXL kipi ndio huanza na kipi hufuata hata waulizane hilo swali??Bado mkuu,but nafuatilia ucwaze,,but leo wakati XXL inaisha nilimsikia Kenedy the remedy akimuuliza Mchomvu kuhusu burudani ya kwanza ya leo jahazini kiutani lakn,Mchomvu akamwambia ni Suprise,but hawakupiga ya WCB,,Time will Disclosure
XXL saa7 hadi saa10,,Jahazi saa10 hadi saa1Mkuu JAHAZI NA XXL kipi ndio huanza na kipi hufuata hata waulizane hilo swali??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenedy alichokua anajaribu kumwambia Mchomvu a guess Ngoma ya kwanza watakayo icheza Jahazi baada ya wao(XXL)kumaliza kipindiMkuu JAHAZI NA XXL kipi ndio huanza na kipi hufuata hata waulizane hilo swali??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashabiki wa wasafi huwa wanahisi wao ndo kiiiiiila kitu kwenye industry wanachoamini clouds kaomba msamaha WCB na hawawazi huenda WCB wameomba wayamalize hahahahahahaaaaa hata mm ndo ningekuwa DIAMOND nisingehitaji fanbase ya aina hiyo NB waliwahi ponda video ya nagharamia wakaponda hadi video vixen wake bt leo ndo SHEMEJI YAO hahahahaaaaaa poor minded kind of fanbase, ever seen.haahaaa, ushabiki mwingine bana, ushabiki maandazi kweli kweli
Mkuu utasema sio bifu huku watu wameshazalilishwa vya kutosha kuwa ni mashoga ina mana walikubali kutumikaHakuna bifu hapo, mmiliki wa Clouds na Wasafi ni yule yule. Ni kweli watu wanachezewa akili...
Tatizo Konki Master alirukia treni kwa mbele bila kujua kilicho nyuma ya pazia. Anyway, vyovyote iwavyo huo ulikuwa ni upepo tu unapita...Mkuu utasema sio bifu huku watu wameshazalilishwa vya kutosha kuwa ni mashoga ina mana walikubali kutumika