BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Kwema wakuu,
Wengi wamekuwa wakinifata inbox kuniuliza kama malipo yetu ya fiesta tumeshalipwa yote. Kiukweli bado hawajamaliza lakini wametuahidi ikifanyika Fiesta ya Dar watakuwa wamekusanya pesa hivyo watatulipa wote.
Wakitulipa tu nitawapa update wakuu, wasanii tuna shida sana sema ndio hivyo camera tu zina tusitiri.
Wengi wamekuwa wakinifata inbox kuniuliza kama malipo yetu ya fiesta tumeshalipwa yote. Kiukweli bado hawajamaliza lakini wametuahidi ikifanyika Fiesta ya Dar watakuwa wamekusanya pesa hivyo watatulipa wote.
Wakitulipa tu nitawapa update wakuu, wasanii tuna shida sana sema ndio hivyo camera tu zina tusitiri.