Si Luis wala Dube ambaye ukimweka sokoni kuna timu itakuja kukupa milioni 400/= Uko walipotoka hawakufikia viwango ndiomaana waliachwa watafute changamoto Mpya ili wainue viwango vyao. Apa kwetu wanacheza vizuri wakikutana na Gwambina, KMC n.k, Timu ambazo hazina bajeti nzuri ya usajili.Kondeboy
Pia dube anathamani ya 2bil
Kama utopolo wauze ngada na magodoro hawawezi kufikisha pesa hizoSi Luis wala Dube ambaye ukimweka sokoni kuna timu itakuja kukupa milioni 400/= Uko walipotoka hawakufikia viwango ndiomaana waliachwa watafute changamoto Mpya ili wainue viwango vyao. Apa kwetu wanacheza vizuri wakikutana na Gwambina, KMC n.k, Timu ambazo hazina bajeti nzuri ya usajili.
Simba SC Tanzania have reached an agreement with Zambian international Clatous Chota Chama to extend his stay in the club for two more seasons.
Chama will pocket $72,000 (Tsh. 180 million) in sign on fees and $6,000 (Tsh. 15 million) monthly salary. The player will be allowed to leave the club any time should he receive a better offer after paying a release clause of $800,000 (Tsh. 2 billion)
View attachment 1622781
Hii ni habari mbaya sana kwa utopolo walitumia kila mbinu ikiwemo maneno ya Hanspope pamoja na mwanachama wao waandishi wa habari kutaka kumufitinisha na Simba
Wivu wa mapenzi kivipi? Narudia tena ligi ya Tanzania hakuna mchezaji hata wa million 400Luis Miqueson anaweza kufikia dau hilo.
Labda kama una wivu wa mpenzi tu ndo hutaona hili
Wanajitekenya na kujichekesha wenyewe.Source uchwara hizo!
Wachangishane kutop up mshahara wa chama uwe sawa au amzidi morison. Vinginevyo atasepa wabaki wanatafuta mchawiWanajitekenya na kujichekesha wenyewe.
Huu utumbo umetoa wapi,haka ka mbilikimo toka misitu ya Congo kalikosa nafasi Kaizer Chiefs kakatolewa kwa mkopo mkaja kukaokota,hakafiki hata mil 100Luis Miqueson anaweza kufikia dau hilo.
Labda kama una wivu wa mpenzi tu ndo hutaona hili
Si Luis wala Dube ambaye ukimweka sokoni kuna timu itakuja kukupa milioni 400/= Uko walipotoka hawakufikia viwango ndiomaana waliachwa watafute changamoto Mpya ili wainue viwango vyao. Apa kwetu wanacheza vizuri wakikutana na Gwambina, KMC n.k, Timu ambazo hazina bajeti nzuri ya usajili.
Hiki umeandika ni takataka.Mikia mnajidanganya Samatta mchezaji bora wa Afrika wachezaji wa ndani na mfungaji bora wa CAF Champions league aliuzwa Genk kwa €800k alafu Chama hajulikani auzwe kwa 2B
Kwani huelewi maana yake mkuu? Kwa ufupi hapo inamaanisha hauzwi 😁. Usipate taabu sanaEti kumnunua ni bilioni 2. Huu umbumbumbu mtaacha lini nyie?
Yanga mna wivu wa kikeEti kumnunua ni bilioni 2. Huu umbumbumbu mtaacha lini nyie?