Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,245
- 1,732
Timu la ovyo linaloongoza ligibaada ya kufungwa na timu ya 'wananchi' washabiki na wamiliki wa simba ( wale wahindi wale) walimshutumu sana huyu dogo kuwa alicheza chini cha kiwango, alikuwa anachelewa sana kutoa pasi, alikuwa amwagi 'maji' alikuwa anakaa na mpira etc kitu ambacho kilimchukiza sana huyu dogo, kama ame opti kuondoka kweny litim lenu hilo la ovyo ovyo tatizo ni nyie mikia wenyewe
Siyo mbaya kuwahitaji waje kuwa back up ya waliopo nduguKama nyonzima alikuwa anawekwa bench na chama Simba wakati kwenu ameingia moja kwa moja kikosi Cha kwanza mbona mnahangaika na kina ndemla na mpilipili ambao hawana namba Simba kwa kifupi mnawatamani Ila uwezo hamna
Si ni uswahili tu ndio uliomtoa haruna Yanga kwenda simba na kutoka simba kwenda yanga!? Haruna Fundi sana asee na ana ofa vitu vingi kuliko chama. Anajitahidi kukaba,anachezesha timu,anatengeneza nafasi na ana uwezo Mkubwa sana Wa kumiliki mpira. Kiufupi jamaa anafanya mpira uonekane kama ni kitu rahisi sanaKama nyonzima alikuwa anawekwa bench na chama Simba wakati kwenu ameingia moja kwa moja kikosi Cha kwanza mbona mnahangaika na kina ndemla na mpilipili ambao hawana namba Simba kwa kifupi mnawatamani Ila uwezo hamna
post yako inanikumbusha utangazaji wa Chacha Maginga,anakwambia goo laaaa laah,kumbe mpira upo katikati. Eti Haruna ni zaidi ya Chama. kitukoSi ni uswahili tu ndio uliomtoa haruna Yanga kwenda simba na kutoka simba kwenda yanga!? Haruna Fundi sana asee na ana ofa vitu vingi kuliko chama. Anajitahidi kukaba,anachezesha timu,anatengeneza nafasi na ana uwezo Mkubwa sana Wa kumiliki mpira. Kiufupi jamaa anafanya mpira uonekane kama ni kitu rahisi sana
Huwezi kulinganisha haruna na chama ni vitu viwili tofauti ndio maana Simba hawakuangaika naye mkataba wake ulipoishaSi ni uswahili tu ndio uliomtoa haruna Yanga kwenda simba na kutoka simba kwenda yanga!? Haruna Fundi sana asee na ana ofa vitu vingi kuliko chama. Anajitahidi kukaba,anachezesha timu,anatengeneza nafasi na ana uwezo Mkubwa sana Wa kumiliki mpira. Kiufupi jamaa anafanya mpira uonekane kama ni kitu rahisi sana
Na Mimi ninakushangaa nakuona kituko ha ha hapost yako inanikumbusha utangazaji wa Chacha Maginga,anakwambia goo laaaa laah,kumbe mpira upo katikati. Eti Haruna ni zaidi ya Chama. kituko
Simba walimsajili haruna kwa mambo yao ya kizamani tu hawakuwa na mahitaji nae.Huwezi kulinganisha haruna na chama ni vitu viwili tofauti ndio maana Simba hawakuangaika naye mkataba wake ulipoisha
Simba si wamesema watasajili vijana. Kwa hiyo Tshishimbi ni kijana!Anaeondoka ni Shishimbi anaetamani sana kuja kucheza pamoja na Mkude. Na ndoto yake inakaribia kutimia.
Kwa uchezaji gani haswa alionao mpaka timu kubwa imtake? Yaani champion boy Samata unamfananisha na vitu vya ajabu ajabu!!!!Kumbe kuna uwezekano timu kubwa nje ikawa unataka? Oh yaani kama Samatta sio?
Aje yanga ili achukue namba ya nani? Kwa uchezaji upi alionao?Tatozo ni 2019 au tatizo ni screenshot inasemaje?Kwamba Yanga inaweza kuvunja mkataba wa Chama na Simba.Kunywa maji mengi bro kichwa itulie
Mi mwenyewe nashangaa sana