Cloutus Chota Chama na Mo Dewji mambo safi

Cloutus Chota Chama na Mo Dewji mambo safi

Wale wachambuzi takataka cjui wanajisikiaje huko..? Na wale utopolism dua chafu kwa simba sijui wanajionaje..? Wale kina respect chama cjui tajiri gani anafanya hivi. Upuuuzi ushamba ni wao wanaotaka dewj aishi wanavyo dhani na kutaka kumpangia
 
Mikia fc .............hamna mwejezaji hapo[emoji23][emoji23]
 
Safi, kazi ya Barbara inaonekana kwenye kurudisha "nidhamu" kwenye timu...sasa arudie tena kumtaja-taja Manara aone🤣
 
Mikia fc .............hamna mwejezaji hapo[emoji23][emoji23]


1628387105740.png
 
Mikia fc .............hamna mwejezaji hapo[emoji23][emoji23]
Kwa miaka minne mfululizo [emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji966][emoji966][emoji966][emoji966],Mo_Pesa ndiye muwekezaji anayewanyima Raha[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196] wa JaNgWani [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Poor Manara alitaka kumtumia Chama katika Ajenda zake chafu lakini Wapi!! Chama amebainisha kuwa yupo kwenye upande ulio sahihi.
 
Shida ipo kwa watu waliomnunia Mo kwa kumdis Chama.waambieni Mo na Chama wamepatana je'wao watabaki kukunja nafsi kwa Mo?
 
Shida ipo kwa watu waliomnunia Mo kwa kumdis Chama.waambieni Mo na Chama wamepatana je'wao watabaki kukunja nafsi kwa Mo?
Alichosema Chama hakiwezi futika.
Ila ukweli utabaki kuwa hapo ndo mahali anapofanya kazi hivyo lazima akiri hakuna tatizo na bosi wake iwe kwa kweli au uwongo ilimradi afanikishe malengo yake.
Kufunga kombe mwanaharam apite ndo hili.

Mambo ya ugomvi na mtu A basi ndo nasi tubebe upande mmoja ni kama ujinga wakizamani huo. Ukweli utabaki kuwa bosi alikosea alichokifanya.
Hata Manara alikosea ila haikupaswa kuendeleza hili jambo hasa kwa mtu mkubwa vile na Timu Kubwa kama Simba nchini.
 
Back
Top Bottom