Club bingwa africa(bonge la fainali)

Ndio ndio
 
Hawa uchezaji wao tutaendelea kuzilaumu tu timu zetu..wametuacha sana, tp mazembe na mamelodi wapewe heshima sana kupambana na haya majamaa
Huwa na hudhurua sana mechi za Tp mazembe ,huwezi fanananisha na timu zetu za Tanzania ,na nimewahi pia kuwashuhudia waarabu kwao

Jamaa mpira wanajua na wana mbinu nao
 
Hawa uchezaji wao tutaendelea kuzilaumu tu timu zetu..wametuacha sana, tp mazembe na mamelodi wapewe heshima sana kupambana na haya majamaa
Huwa na hudhurua sana mechi za Tp mazembe ,huwezi fanananisha na timu zetu za Tanzania ,na nimewahi pia kuwashuhudia waarabu kwao

Jamaa mpira wanajua na wana mbinu nao
Tatizo bongo mpira na siasa nyingi. Viongozi wapo kwa maslahi yao binafsi na sio kwaajili ya maendeleo ya soka.
 
Sisi mpira bado Mkuu si viongozi tu ,hata baadhi ya mashabiki bado,wachezaji pia bado

Tuna safari ndefu ktk soka
Ila chanzo kikubwa ni viongozi mkuu. Attitude za viongozi zikibadilika hata mashabiki nao watabadilika na wachezaji tunaweza kuwatengeneza tokea ngazi za chini.

FIFA kila mwaka lazima itoe subsidies kwa Football Associations zote zilizopo chini yake kwaajili ya maendeleo ya soka kuanzia ngazi za chini (grass root).

Lakini jiulize hizo hela huwa zinatumika vipi na wapi. Kuna academies ngapi zilizopo chini ya TFF kwaajili ya grass root development? Hakuna kitu ni wizi wizi mtupu.
 
Mkuu mashabiki ndio wakuanza maana wao ndio huwa wanachama wanaochagua hao viongozi

Wao ndio husifia mchezaji hata asiye na sifa ,au timu isiyo na uwezo ( mtazamo Wangu)

Binafsi soka naliheshimu sana ila tatizo kuna watu wanaojifanya wanajua mno hata danadana hajui
 
Makao makuu ya CAF yapo cairo..timu yeyote ikienda cairo miaka yote huwa hawatoki salama Al ahly huwezi kumfunga cairo hata barcelona ikienda cairo watafungwa kwa mbinu yeyote ile

Nimefurahi sana leo na nilikuwa nawasapoti esperance mwanzo mwisho ndoto za Al Ahly kubeba ubingwa wa 9 imekufa na kubwa ni mechi iliyopita esperance walionewa mno..
 
Baada ya kugongwa goli LA kwanza.timu ya misri INA kamchezo ka kuanguka anguka. Kalikoma Mara moja. Mchezo WA awali walikuwa kero. Big up Esperance.
 
Tp Mazembe wako vzr kila idara kuanzia ,wachezaji ,viongozi hadi mashabiki ,last week kampiga As Vita club ( finalist wa shirikisho caf) 3-2 nilikua uwanjani
Yaani Tp Mazembe sijui huwa anawakamata vipi hao jamaa. Tena akiwaga kwenye ubora wake huwa anawatwanga home and away kabisa.
Naaam Mkuu ,sisi ni porojo tu ,za timu zetu za kariakoo ,kelele nyingi
Kwa kifupi hakuna tulijualo sio mpira tu.
Hili ndilo muhimu na hkn janja janja km bongo mchezaji au kocha ana 10% na viongozi

Kingine uwekezaji wao mkubwa
Mishahara mizuri pia na quality of players

Sent from my SM-G900T using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…