Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Kweli kabisa. Ila uzuri ni kuwa wamecheza na waarabu wenzao nao wanajua figisu.Al ahly walibebwa tu mechi ya kwanza,Leo hawakua na mbinu yoyote ile
Ingekuwa sisi wabongo saizi ungekuta tunalalamika tu na kulia lia.