Club Bingwa Africa: Simba SC inakwenda kuweka rekodi mpya kabisa!

Simba isije ikafanya kosa walilofanya Man utd kwenye ligi ya mabingwa msimu huu, Utd alianza kwa ushindi ugenini dhidi ya psg kisha kuibugiza leipzig bao 5 nyumbani, wakabweteka wakapigwa ugenini na kibonde fernabahce ya Uturuki. Wakajiweka kwenye mazingira magumu presha ikawa kubwa wakapigwa mechi 2 za mwisho na psg na leipzig. Mwisho wa siku wakashika nafasi ya 3 wakang'oka. So wachezaji wasibweteke kuidharau Merreikh, wajue mechi ya marudiano na AS Vita ni ngumu pia kule Misri hakuna muujiza wa kuepuka kupigo.
 
Kwani mashabiki wa Yanga wana kwama wapi? [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tayari unaleta siasa. Mie sio utopolo mkuu naongea ukweli, mpira hasa virabu vya tanzania ni homa za vipindi na siasa. Ikatokea hapo simba akapigwa mechi mbili tatu, tayari mnageuka na kuanza tukana, sasa hizo ni akili au uchafu kwenye kichwa
Wachache watakao kuelewa!! Mpira wa bongo (hasa sisi mashabiki/washabiki) tunaipenda timu na kusapoti pale inapofanya vizuri tu. Ikianza kufungwa tunarudianamoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Pole mkuu naona unateseka sana 🀣🀣
 
Hawafiki popote..??. Kumbe hata kwenda robo fainal utawazuia?

We mbona mjinga sana
 
Nakumbuka mwanzoni mwa msimu huu kwenye UCL group stage.... Man United waliwashinda PSG na Leipzig - kilikuwa ni kishindo kikubwa. Kila mtu akaanza kwapigia chapuo eti watabeba ndoo ya UCL msimu huu. Sasa hivi naona wanapigania mitungi ya oksijeni ya Europa League!!
 
Haya ndio mawazo ya mabingwa..

ni kweli inabidi mechi dhidi El merikh tubebe point 4 home and away.. /+6=10 POINT

As Vita kwa Mkapa anapajua vzr wala hatusumbui.
 
Pole utopolo!! Kabla ya mechi usingesema hayo maana uliamini Simba atafungwa! Endeleeni kuhamisha goli! Jana baada ya kipindi Cha kwanza utopolo walisema ngojeni kipindi Cha pili, hawa jamaa wanawasoma tu, kipindi Cha pili kikaisha Sasa mnasema ngoja mkienda Misri mtakiona. Poleni Sana utopolo!
 
hilo usiwaze kabisa. Hizi ni vurugu tu za mashabiki. Ila timu na bench la ufundi liko makini na matokeo yamekuwa motisha kubwa ya kufanya vizuri.
 
Waswahili wana msemo wao usitukane mamba kabla ujavuka mto.
Wenye kuelewa hawatauliza swali
 
Unaonesha uwezo wako wa kuelewa ni mdogo sana, kwaiyo mtu akitoa comment ya tahadhari bac ni shabiki wa uto...poor-minded!!!
 

Hapa tunazungumzia Simba Sc na siyo Man utd! Simba na Man utd ni clubs mbili tofauti na zenye falsafa tofauti pia! Hatuwezi kuzungumzia alikopita Man Utd hapa angali, huu uzi hauhusu Man utd!
Usichanganye mambo tafadhali!
 
Hapa tunazungumzia Simba Sc na siyo Man utd! Simba na Man utd ni clubs mbili tofauti na zenye falsafa tofauti pia! Hatuwezi kuzungumzia alikopita Man Utd hapa angali, huu uzi hauhusu Man utd!
Usichanganye mambo tafadhali!
πŸƒβ€β™‚οΈ πŸƒβ€β™‚οΈ πŸƒβ€β™‚οΈ πŸƒβ€β™‚οΈ πŸƒβ€β™‚οΈ πŸƒβ€β™‚οΈ πŸƒβ€β™‚οΈ πŸƒβ€β™‚οΈ
 

Wale uliosema hawaendi popote sasa wapo south Africa huko, wakijiandaa kukamilisha ratiba ya kucheza nusu fainali, vipi unataseka ukiwa umeenda wapi bhana, au bado upo hapo kidimbwi...!?
 
Wale uliosema hawaendi popote sasa wapo south Africa huko, wakijiandaa kukamilisha ratiba ya kucheza nusu fainali, vipi unataseka ukiwa umeenda wapi bhana, au bado upo hapo kidimbwi...!?
Hutampata!! Utopolo huyu anapita hapa kimya kimya huku akiteseka moyoni!
 
Wale uliosema hawaendi popote sasa wapo south Africa huko, wakijiandaa kukamilisha ratiba ya kucheza nusu fainali, vipi unataseka ukiwa umeenda wapi bhana, au bado upo hapo kidimbwi...!?

Mkuu nipo kidimbwi toka juzi baada ya mechi yenu,wewe upo wapi?
 
Mkuu nipo kidimbwi toka juzi baada ya mechi yenu,wewe upo wapi?

Nipo La Concha beach, unateseka bado...?!
Sema walao nikupe exposure uachane na hizo beach za watoto wa tandika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…