Club gani ina maDJ wazuri

Club gani ina maDJ wazuri

Mtetezi.com

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
3,134
Reaction score
3,584
Nimezunguka
1, The Element
2, Havock
3, Maisha club
4, The Legend

But ninaona maDj wanapiga nyimbo za kubembelezana yani hakuna clubing vibes!

Kibongobongo baada ya kufa Bills na Savana ninaona MaDj hawajielewi yani wanapiga nyimbo za kulalia Club.


Kama kuna club yenye vibes kitaani kwako tupeane connection tunaibuka dk sifuri tu kikubwa tu iwe ndani ya Dar!.
 
Back
Top Bottom