Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Club House na Space ni social media rooms zinazoruhusu majadiliiano ya wazi. Hivi karibuni zimetumika sana na wana siasa kuongelea hali ya siasa za Tanzania. Faida mojawapo ya social media ni kuunganisha watu walio sehemu mabali mbali za dunia.
Kuna kijana graduate nilikutana nae, aliniambia ameshaacha kutembeza CV kwa sasa. Baada ya kuhangaika sana aliamua kukopa hela na kununua wheel barrow, smart phone na speaker ndogo ya iPhone alipewa na rafiki yake kama zawadi.
Anakwenda mahakama ya ndizi asubuhi na kununua machungwa, ndizi, maembe, pears zabibu (kutokana na msimu) na kuweka kwenye wheel barrow yake. Mchana walio kazini wengi hununua matunda lakini jioni club house na space vikianza, vijana humzunguka na yeye anaunganisha spamart phone na speaker na wote wana sikiliza.
Siku za Club House na Space wasikilizaji humuunga kwenye biashara na huweza kumaliza matunda yote. Akishatoa mtaji anapata 30,000-25,000 faida. Kwa sasa anakata 10,000 kwa siku kulipia wheel barrow.
Mtaji wa masikini ni nguvu zake.
Kuna kijana graduate nilikutana nae, aliniambia ameshaacha kutembeza CV kwa sasa. Baada ya kuhangaika sana aliamua kukopa hela na kununua wheel barrow, smart phone na speaker ndogo ya iPhone alipewa na rafiki yake kama zawadi.
Anakwenda mahakama ya ndizi asubuhi na kununua machungwa, ndizi, maembe, pears zabibu (kutokana na msimu) na kuweka kwenye wheel barrow yake. Mchana walio kazini wengi hununua matunda lakini jioni club house na space vikianza, vijana humzunguka na yeye anaunganisha spamart phone na speaker na wote wana sikiliza.
Siku za Club House na Space wasikilizaji humuunga kwenye biashara na huweza kumaliza matunda yote. Akishatoa mtaji anapata 30,000-25,000 faida. Kwa sasa anakata 10,000 kwa siku kulipia wheel barrow.
Mtaji wa masikini ni nguvu zake.