Kama kuna mtu ana muunga mkono kijana graduate kutembea na radio. Na eti mtoa thread nae kaonekana ametoa story of thought. A touching story kama kuna anayemuunga mkono. Haya aendelee. Ila mimi nasema huyo dogo ni MPUUZI. Tena saaana. Yaani aweze kuuzia matunda huko club house. Ashindwe kabisa kufikiria jambo la shughuli kama msomi.