Club ya Mbeya City yafanikiwa kumsajiri mshambuliaj mpya kutoka Chuo cha uhasibu Mbeya

Huyu atakuwa msomi wa kwanza kucheza soka hapa bongo,Dah anko Magu nae apunguze kubana wasomi wa viwanda cjui atawapata wapi
 
Ubingwa wao juzi wamemchukua iddi Suleiman Ronaldo
 
sema huyu iddi selemani anapenda sana ndondo mkoa wa pwani kaumaliza wote na viwanja vyake duu
 
Mkuu Mbona
Huyu atakuwa msomi wa kwanza kucheza soka hapa bongo,Dah anko Magu nae apunguze kubana wasomi wa viwanda cjui atawapata wapi
Mkuu Mbona wasomi wengi wamecheza mpira bongo mfano ni: Leodgar Tenga, Lawrence Mwalusako, Marehemu Method Mogella, Lelant Lusajo etc
 
Huyu atakuwa msomi wa kwanza kucheza soka hapa bongo,Dah anko Magu nae apunguze kubana wasomi wa viwanda cjui atawapata wapi
huyo jamaa alikuwa anasoma basi tu ila jaa ni bonge la striker anachezea mguu wa kushoto

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…