Club ya Mbeya City yafanikiwa kumsajiri mshambuliaj mpya kutoka Chuo cha uhasibu Mbeya

Club ya Mbeya City yafanikiwa kumsajiri mshambuliaj mpya kutoka Chuo cha uhasibu Mbeya

dopeless

Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
49
Reaction score
36
huyu ndiye mshambuliaji mpya wa mbeya city.
f9df90a164f51417df3ae40bba64a8ed.jpg
 
Huyu atakuwa msomi wa kwanza kucheza soka hapa bongo,Dah anko Magu nae apunguze kubana wasomi wa viwanda cjui atawapata wapi
 
Ubingwa wao juzi wamemchukua iddi Suleiman Ronaldo
 
sema huyu iddi selemani anapenda sana ndondo mkoa wa pwani kaumaliza wote na viwanja vyake duu
 
Mkuu Mbona
Huyu atakuwa msomi wa kwanza kucheza soka hapa bongo,Dah anko Magu nae apunguze kubana wasomi wa viwanda cjui atawapata wapi
Mkuu Mbona wasomi wengi wamecheza mpira bongo mfano ni: Leodgar Tenga, Lawrence Mwalusako, Marehemu Method Mogella, Lelant Lusajo etc
 
Huyu atakuwa msomi wa kwanza kucheza soka hapa bongo,Dah anko Magu nae apunguze kubana wasomi wa viwanda cjui atawapata wapi
huyo jamaa alikuwa anasoma basi tu ila jaa ni bonge la striker anachezea mguu wa kushoto

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
Back
Top Bottom