barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Msije kulialia tu hapa maana TRA wakigonga hodi lazima muhindi atoke nduki!1. SIMBA SC (Tanzania).
2. Arsenal FC (England)
3. Man Utd (England)
4. AC Milan (Italy)
5. Barcelona (Spain)
6. Bayern Munich (Germany)
Club zinazoendeshwa kwa mfumo wa wanachama ni;
1. Yanga SC(Dar Tz)
2. Kiluvya Utd (Pwani Tz)
3. Kauzu FC(Dar Tz)
4. Mlalakua (Dar Tz)
5. Mbao FC(Mwanza Tz)
6. Misosi FC(Dar Tz)
7. Majimaji FC(Songea Tz)
8. Coastal Union (Tanga Tz)
9. Lipuli FC (Iringa Tz)
Kwa nini??Ukipigwa shaba ya kichwa usimtafute mchawi.... Ahaha
Hahahaaa!Tunajaza kifusi kwanza matopeni
Matopeni nayo imo au ndiyo kwanza inaingia with unexpected results?1. SIMBA SC (Tanzania).
2. Arsenal FC (England)
3. Man Utd (England)
4. AC Milan (Italy)
5. Barcelona (Spain)
6. Bayern Munich (Germany)
Club zinazoendeshwa kwa mfumo wa wanachama ni;
1. Yanga SC(Dar Tz)
2. Kiluvya Utd (Pwani Tz)
3. Kauzu FC(Dar Tz)
4. Mlalakua (Dar Tz)
5. Mbao FC(Mwanza Tz)
6. Misosi FC(Dar Tz)
7. Majimaji FC(Songea Tz)
8. Coastal Union (Tanga Tz)
9. Lipuli FC (Iringa Tz)
unachosema sio kweli ni kipi hapo?Sio kweli Barcelona na majority ya timu za Spain zinaongozwa kwa mtindo wa wanachama. Wanachama ndio wenye sauti na ndio maana zina mafanikio makubwa kuliko hizo za hisa.
Hata timu za Germany ni hivyo hivyo tu.
Real Madrid na Barcelona zote zimo kwenye mfumo wa wanachama. Na hata Bayern Munchen pia.Matopeni nayo imo au ndiyo kwanza inaingia with unexpected results?
Niambie Real Madrid ipo kwenye mfumo gani. Ndiyo Club iliyoshinda zaidi Champions League including back to back
1. SIMBA SC (Tanzania).
2. Arsenal FC (England)
3. Man Utd (England)
4. AC Milan (Italy)
5. Barcelona (Spain)
6. Bayern Munich (Germany)
Club zinazoendeshwa kwa mfumo wa wanachama ni;
1. Yanga SC(Dar Tz)
2. Kiluvya Utd (Pwani Tz)
3. Kauzu FC(Dar Tz)
4. Mlalakua (Dar Tz)
5. Mbao FC(Mwanza Tz)
6. Misosi FC(Dar Tz)
7. Majimaji FC(Songea Tz)
8. Coastal Union (Tanga Tz)
9. Lipuli FC (Iringa Tz)
Yanga naona mnatoa mapovu, nyie mmeanza kutumia huo mfumo lini?? Kwa hiyo Madrid wakishinda sababu ni mfumo kama wenu na nyie mnajiona mmefanikiwa??Club bora kabisa duniani Real Madrid inamilikwa na kuendeshwa na wanachama hadi leo.
Ndiyo Club iliyoshinda zaidi Champions League pamoja na back to back.
Rais wao huchaguliwa na wanachama. Lakini ni vigumu Mbumbumbu kuyajua haya. Barcelona ina mfumo huo huo.
Yanga naona mnatoa mapovu, nyie mmeanza kutumia huo mfumo lini?? Kwa hiyo Madrid wakishinda sababu ni mfumo kama wenu na nyie mnajiona mmefanikiwa??Club bora kabisa duniani Real Madrid inamilikwa na kuendeshwa na wanachama hadi leo.
Ndiyo Club iliyoshinda zaidi Champions League pamoja na back to back.
Rais wao huchaguliwa na wanachama. Lakini ni vigumu Mbumbumbu kuyajua haya. Barcelona ina mfumo huo huo.
Kwa mfano kipi kinafuatwa toka Simba?Yanga naona mnatoa mapovu, nyie mmeanza kutumia huo mfumo lini?? Kwa hiyo Madrid wakishinda sababu ni mfumo kama wenu na nyie mnajiona mmefanikiwa??
Simba Sc daima inaweka mifano ya kufuatwa hapa EA.