Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Okei, vipi kuhusu Yanga??
Man Utd ni timu ya Familia ya kina Glazer
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aiseh mtu ukimzidi lazima akuponde ila karoho kanamuuma
Ninyi ndala mbona vigeugeu sana
Ingia kwenye thread yenu huko uone watu wanavyolialia eeh tunataka hisa
Ninyi hapa cjui vp ilimuradi mjitetee
Tangu lini hako ka mfumo ka uanachama kakakupa mafanikio Africa?
Angalia kuanzia AL AHLY,WYDAD CASABLANCA,TP MAZEMBE,ZAMALEK,MAMELODI SUNDOWNS ETC zote hisa hizo
Uanachama wenyewe umeshindwa mara manji katoka mnapitisha bakuli na bado mnajitetea.Kweli hawa ndo wabongo!!!!!!!!!!??!!!!
Gd9t!!!!!????!!!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aiseh mtu ukimzidi lazima akuponde ila karoho kanamuuma
Ninyi ndala mbona vigeugeu sana
Ingia kwenye thread yenu huko uone watu wanavyolialia eeh tunataka hisa
Ninyi hapa cjui vp ilimuradi mjitetee
Tangu lini hako ka mfumo ka uanachama kakakupa mafanikio Africa?
Angalia kuanzia AL AHLY,WYDAD CASABLANCA,TP MAZEMBE,ZAMALEK,MAMELODI SUNDOWNS ETC zote hisa hizo
Uanachama wenyewe umeshindwa mara manji katoka mnapitisha bakuli na bado mnajitetea.Kweli hawa ndo wabongo!!!!!!!!!!??!!!!
Gd9t!!!!!????!!!!!!
We mbona cjaona waliposema inaendeshwa na wanachama?
Povu hilo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu wacha upotoshaji, unafanya research au tunakurupuka tu?
embu soma hapa uelimike Al Ahly SC - Wikipedia
tatizo lenu wajanja wachache matapeli wa foodworld pale wamewashika na hamna vikombe karibia miaka mitano sijuhi sasa mpo so desperate, nawahakikishia vikombe hampati, na MO mtagombana naye na mwisho wa siku mtaenda kuanzisha timu yenu ya Simba Asilia.
Mark my worlds tupo hapa na tutaona!
nawapa miaka miwili au mitatu.
We mbona cjaona waliposema inaendeshwa na wanachama?
Povu hilo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utasubur mpaka uchoke[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu Sasa ulifikiri Mbumbumbu watajulia wapi mambo hayaClub bora kabisa duniani Real Madrid inamilikwa na kuendeshwa na wanachama hadi leo.
Ndiyo Club iliyoshinda zaidi Champions League pamoja na back to back.
Rais wao huchaguliwa na wanachama. Lakini ni vigumu Mbumbumbu kuyajua haya. Barcelona ina mfumo huo huo.
Rage alishatuambia. Ni ubishi wetu tu.Mkuu Sasa ulifikiri Mbumbumbu watajulia wapi mambo haya
Ni timu yao sababu wao ndo wana hisa nyingi.Man Utd ni timu ya Familia ya kina Glazer
Waambie hawa ndala ni wagumu kuelewa in natureNi timu yao sababu wao ndo wana hisa nyingi.
Umesahau Yanga ndiyo timu pekee inayoishi kwenye maji kama pweza
Okei, vipi kuhusu Yanga??
We mbona cjaona waliposema inaendeshwa na wanachama?
Tp mazembe inaongozwa kwa hisa