Lord Diplock MR JF-Expert Member Joined Mar 16, 2015 Posts 1,393 Reaction score 3,237 Sep 28, 2018 #21 Haijatokea redio ya kuwapa challenge kiukweli tuwe wawazi, japo kwenye tv hawana kitu
Queenever JF-Expert Member Joined Aug 16, 2017 Posts 2,051 Reaction score 3,018 Sep 28, 2018 #22 Darmian said: √Clouds especially clouds fm wanajua ni nini kinachotakiwa kufanyika na kwa muda gani √East africa radio atleast kipindi cha nyuma ndo walikuwa wanaweza kuwachallange hawa jamaa ila hawa Efm ukiacha sports crew yao hakuna kipya.. Click to expand... Efm kipindi kinachonicjefua zaidi ni uhondo. Kila kijingle cha uhondooooo. Bado kuna swebe Sijui anaongeaga nini. Makelele mtindo mmoja ,,
Darmian said: √Clouds especially clouds fm wanajua ni nini kinachotakiwa kufanyika na kwa muda gani √East africa radio atleast kipindi cha nyuma ndo walikuwa wanaweza kuwachallange hawa jamaa ila hawa Efm ukiacha sports crew yao hakuna kipya.. Click to expand... Efm kipindi kinachonicjefua zaidi ni uhondo. Kila kijingle cha uhondooooo. Bado kuna swebe Sijui anaongeaga nini. Makelele mtindo mmoja ,,