The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Takwimu za kila siku zinaonyesha kua idadi kubwa ya Wamarekani hawamuelewi Biden na hawaelewi nchi inakoekea.
Ndani ya mwaka mmoja umaarufu wa Biden umekua ukishuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kutokana na kwamba wamarekani hawaelewi Biden anachokifanya Ikulu.
Nashindwa kuelewa huyu mzee alishindaje ule uchaguzi?
Ndani ya mwaka mmoja umaarufu wa Biden umekua ukishuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kutokana na kwamba wamarekani hawaelewi Biden anachokifanya Ikulu.
Nashindwa kuelewa huyu mzee alishindaje ule uchaguzi?