CNN: 73% ya Wamarekani wanataka Biden asigombee 2024, hawaelewi nchi inakoelekea chini ya Biden

CNN: 73% ya Wamarekani wanataka Biden asigombee 2024, hawaelewi nchi inakoelekea chini ya Biden

Tuliwaambia Biden hakushinda uchaguzi amesaidiwa kupita na morons and stooges wa Shetani a.k.a NWO na hivyo Trump kaporwa ushindi,hawakutuelewa.Ngoja wapate joto ya jiwe na bado.

Tusubiri Marekani in the coming 4 weeks Diesel fuel iishe,mmm,Marekani itakuwa hell on Earth.Wakati huo pia hapatakuwa na chakuka,watu watakuwa wanakufa,inflation itakuwa at all time high ,gas prices nazo at all time high,pesa haitakuwepo kwa hiyo Wamarekani hawataweza kulipa utility bills na pango!!!!!Aisee,Marekani
itakuwa kilio na kusaga meno.Yetu macho.Yajayo Marekani yanatisha,yes,all because of the stupidity of Americans,but most importantly,kwa kuwa wamempa Mungu kidogo na kumkumbatia Shetani.Ndio,Shetani hana cha bure.
Marekani iishiwe diesel labda kwenye ndoto zako.
Unajua Marekani kwa sasa ndiye muuzaji mkubwa wa gesi Ulaya, inafuatia Qatar kisha Russia? We unaona kabisa hiyo ndiyo nchi ya kukosa diesel na tankers zote walizonazo baharini zinazozurula all the time.

Unajua Marekani ndiye mzalishaji mkubwa wa mafuta duniani kwa sasa akizalisha pipa milioni 15 kwa siku, akifuatiwa na Saudi Arabia ambaye anachezea kwenye around milioni 12 bpd? Hiyo ndiyo ikose diesel kwako wewe

Marekani hii ambayo inazalisha zaidi ya nusu ya mahindi yote yazalishwayo duniani. Mzalishaji wa nafaka kiasi kikubwa, nyama, samaki ndiye akose chakula. Tanzania tu haiwezi kosa chakula, sembuse Marekani?

Sijui shule gani ulisoma
 
Kila akimuwaza Putin anaanguka matukio ya kuanguka yashakua mengi,kupambana na Putin anatakiwa Rais mwenye nguvu za mwili na akili kuhimili vishindo na maamuzi ya kushtukiza ya mwamba Putin.
Hapo ndipo trump anatakiwa aingie, bang..!
 
Sasa kwanini US vitu bei juu nauliza tu nasehem nyengine huko kwenye EURO POUND nk vitu bei ghali sanaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Bei ni ghali kwa kuwa hela ipo. Mfanyakazi wa kawaida mwenye ujuzi kama painting au useremala kulipwa dola 15 kwa sasa sio jambo la ajabu. Wapo wabongo kibao humu humu JF wanatoa ushuhuda jinsi wanavyolipwa $20 kwa lisaa. Na hapo siku anafanya kazi masaa nane hivi. Gharama za maisha Masaki na Tandale kwa mfunga mbwa ni tofauti, wali maharage ni uleule ila wa Masaki unalazimika uwe na quality nzuri na unakuwa na gharama kubwa kupita uhalisia, ila unauzika.

Hata Switzerland bei ghali sana vitu, muuza juice anatoza hela kubwa na anayemuuzia sabuni anamtoza hela kubwa. Mlinganyo unajisawazisha wenyewe kama ambavyo nchi maskini zinakuwa na bei ndogo kwa vitu vyote vya ndani
 
Uko Manungu ila unahoji rais wa US alivyopatikana! Waafrika ingekuwa tunahoji vile mambo yetu yanavyoendelea ungekuwa tuko mbali zaidi. US ni kama alishamalizana na mambo yote ya msingi kwenye dunia hii, sasa wanawekeza kwenye sayari nyingine.
Sisi tuna miaka around 50 ya uhuru tunakimbizana na matundu ya vyoo na tohara za watu wazima.

Sayari ipi hiyo nyingine? Jupiter au?
 
Marekani iishiwe diesel labda kwenye ndoto zako.
Unajua Marekani kwa sasa ndiye muuzaji mkubwa wa gesi Ulaya, inafuatia Qatar kisha Russia? We unaona kabisa hiyo ndiyo nchi ya kukosa diesel na tankers zote walizonazo baharini zinazozurula all the time.

Unajua Marekani ndiye mzalishaji mkubwa wa mafuta duniani kwa sasa akizalisha pipa milioni 15 kwa siku, akifuatiwa na Saudi Arabia ambaye anachezea kwenye around milioni 12 bpd? Hiyo ndiyo ikose diesel kwako wewe

Marekani hii ambayo inazalisha zaidi ya nusu ya mahindi yote yazalishwayo duniani. Mzalishaji wa nafaka kiasi kikubwa, nyama, samaki ndiye akose chakula. Tanzania tu haiwezi kosa chakula, sembuse Marekani?

Sijui shule gani ulisoma
Tatizo ninyi vijana mnakaririshwa vitu halafu uwezo wa kuvi-digest hamna.Achana na uwezo wa digestion mdogo mlionao,vidigrii mlivyo navyo vina wapumbaza kiasi kwamba vinakuwa Kama cage,hamsomi mmelala usingizi.Let me tell you,elimu tuliyopewa shuleni most of it is junk.Mimi nina Postgraduate Degree,lakini baada ya kupenda kujisomea zaidi,nimegundua kwamba elimu tuliyopewa is an enslavement tool.Wake up kijana.
 
Marekani iishiwe diesel labda kwenye ndoto zako.
Unajua Marekani kwa sasa ndiye muuzaji mkubwa wa gesi Ulaya, inafuatia Qatar kisha Russia? We unaona kabisa hiyo ndiyo nchi ya kukosa diesel na tankers zote walizonazo baharini zinazozurula all the time.

Unajua Marekani ndiye mzalishaji mkubwa wa mafuta duniani kwa sasa akizalisha pipa milioni 15 kwa siku, akifuatiwa na Saudi Arabia ambaye anachezea kwenye around milioni 12 bpd? Hiyo ndiyo ikose diesel kwako wewe

Marekani hii ambayo inazalisha zaidi ya nusu ya mahindi yote yazalishwayo duniani. Mzalishaji wa nafaka kiasi kikubwa, nyama, samaki ndiye akose chakula. Tanzania tu haiwezi kosa chakula, sembuse Marekani?

Sijui shule gani ulisoma
Ushahidi kwamba Marekani itakumbwa na Oil crisis huu hapa!



Ushahidi mwingi huu hapa👇


Unajua,watu mmelishwa pumba mno kiasi kwamba you believe America is eternal,sio.America is in the verge of collapse,and by design.
 
Ushahidi kwamba Marekani itakumbwa na Oil crisis huu hapa!



Ushahidi mwingi huu hapa👇


Unajua,watu mmelishwa pumba mno kiasi kwamba you believe America is eternal,sio.America is in the verge of collapse,and by design.
Una nyuzi nyingi takataka humu JF. Wiki nne zitapita kama nitakuwepo nitarudi kukukumbusha huu upumbavu wako. Yaani Tanzania inayoimport mafuta makampuni ya nje na nchi za nje isiishiwe mafuta alafu Marekani ambayo inazalisha zaidi ya 80% ya matumizi yake na importation inaagiza kwa makampuni yake iishiwe iwe na crisis?

Hiyo link uliyoweka hapa nami naweza kukuletea link hapa inayosema kinyume chake. Huna reasoning, hata mtu akikwambia wewe ulikuwa mbuzi ukafa then ukazaliwa mwanadamu akishakupa link tu tiyari unaamini
 
Marekani hii ambayo inazalisha zaidi ya nusu ya mahindi yote yazalishwayo duniani. Mzalishaji wa nafaka kiasi kikubwa, nyama, samaki ndiye akose chakula. Tanzania tu haiwezi kosa chakula, sembuse Marekani?

Sijui shule gani ulisoma
Ulivyomalizia mpaka raha hahaahaaa
 
Anayesema wanafyatua tu hela naye afyatue aone. Kwamba nchi zote duniani ni wapumbavu kuwa na foreign reserve kwenye USD, yani hawaamini usalama wao wenyewe kuliko wanavyoamini usalama wa Marekani. Alafu mtu anakuja anasema eti itakuwa third world country
Fedha ya Marekani pia inakuwa na nguvu kwa sababu katika biashara ya kimataifa watu huitumia zaidi kuliko pesa yoyote ile duniani
 
Nawewe print uone utafika wapi, kwanini Russia au China wasiprint wakaizidi Marekani au hawataki. Kumbe nabishana mtu asiyejua hata basics za uchumi.
Germany ilivyoprint hela zake au Zimbabwe ilivyoprint sana noti zake walifikia wapi?
Mkuu unafikiria mbali na asante sana mkuu
 
Fedha ya Marekani pia inakuwa na nguvu kwa sababu katika biashara ya kimataifa watu huitumia zaidi kuliko pesa yoyote ile duniani
Kwa sababu ndio fedha salama na stable zaidi na Marekani inatumia gharama kubwa kuihakikisha dunia kwamba USD ni kimbilio la kuaminika. Tangu ipate uhuru mwaka 1776 haijawahi kuvamiwa na nchi yeyote zaidi ya Uingereza pale mwanzoni mwanzoni mwa uhuru
 
Una nyuzi nyingi takataka humu JF. Wiki nne zitapita kama nitakuwepo nitarudi kukukumbusha huu upumbavu wako. Yaani Tanzania inayoimport mafuta makampuni ya nje na nchi za nje isiishiwe mafuta alafu Marekani ambayo inazalisha zaidi ya 80% ya matumizi yake na importation inaagiza kwa makampuni yake iishiwe iwe na crisis?

Hiyo link uliyoweka hapa nami naweza kukuletea link hapa inayosema kinyume chake. Huna reasoning, hata mtu akikwambia wewe ulikuwa mbuzi ukafa then ukazaliwa mwanadamu akishakupa link tu tiyari unaamini
Naomba nikueleweshe kwanba hii haitakuwa bahati mbaya,but by design.Kama ungefuatilia kikao cha WEF (World Economic Forum) Davos ambacho hata viongozi wetu wa juu kitaifa walihudhuria, ungeliona hili wazi.Waliambiwa wazi kwamba kutakuwa na disruption ya supply chains,including fuel and other commodities,na shida nyingine nyingi kwa wananchi, ila wasijaribu kusaidia kwa kuwa hayo ni part and parcel of the Great Reset as we move towards the NWO!Simply wamesema tuvumilie.

Biden majuzi tu katoa the same rhetoric.Yeye kasema tuisaidie NWO kufanikiwa bila aibu.Sasa unabishana na wahusika wakuu wa kuleta hiyo shortage!Funny.Si swala la kupewa link,na nani anipe link kwanza?

Waliobishana na mimi wamekiri kwamba they were wrong humu humu JF,na wakaomba msamaha na kunishukuru kwa taarifa.Na wewe utakuja kuomba msamaha I am sure na kunishukuru kama wengine.

Kwanza ungekuwa msomaji msuri ungejua kwamba tayari supply chain disruptions zinaendelea everywhere duniani,na Marekani shortage ya diesel fuel ipo na quees za fuel zipo nndefu sana.Juzi tu nimesoma kwamba they have fuel for only 27 days!

Ndugu nimekupa link inayo monitor fuel supply in the US bado huamini,who are you kubishana na monitors ambao wapo US? Na link sio hiyo tu niliyokupa,link zinazo zungumzia swala hilo ni nyingi,sasa wote ni waongo,wewe ndiye mkweli?

Kwanza unatumia fantasies zako ulizo nazo about America,umedanganywa kwamba America is great,kwa hiyo you believe such a thing can't happen to America,I repeat it is by design!Come to ground zero kijana,the World is not what you have been made to believe.NWO wako kwenye process wanayo ita "Great Reset," they are resetting the World.The War in Ukraine,Covid and other plagues and everything which goes along with them including the so called Vaccines,disruption of supply chains,inflation,Climate Change etc. etc.are all part of the Great Resert.

Mimi sisemi kitu bila evidence,link nyingine hii hapa👇


Soma pia hii 👇itakupa an overview of the fuel crisis worldwide


Nikupe challenge,taarifa hizi zinapatikana all over the internet fanya utafiti wako binafsi.Usitegemee hearsay au Mainstream Media kwa taarifa,hawatakupa taarifa kama hizi.Soma,soma,soma kijana,usipojisomea utalishwa matango mwitu.
 
Vita ya kiuchumi na China Marekani haijashindwa popote. Taja kampuni ya China iliyowekewa vikwazo na ikaendelea kuteka soko duniani. ZTE iko wapi hadi leo watu hawaijui, Huawei iko wapi hadi tenda za 5G karibia zote Ulaya imepoteza na kwenye global shipment ya simu haipo hata top 7 hata kwao China haipo top 3 wakati ilikuwa ya kwanza. Kwani Marekani kashindwa nini kwenye trade war. Hali mbaya ya US kiuchumi unaipimaje.

Marekani haipo katika vita ya Ukraine. Haipo kabisa, kutoa vidola bilioni moja moja na units kadhaa za silaha usidhani vinaathiri chochote kwenye uchumi wake. Narudia kuwasisitiza ni mwaka 2020 hapo ambapo Chairman wa Federal Reserve aliidhinisha kutoa dola trilioni 2 kama stimulus ya uchumi kutokana na COVID-19. Marekani inatoa kama dola bilioni 5 kila mwaka kwa Israel miaka nenda rudi, inatoa bilioni kadhaa kwa Egypt kila mwaka, inatoa billions kwa nchi tofauti tofauti. Hiyo 2035 ni mapema sana kusema Marekani itafeli, bado ipo sana
Umesema mengi, labda nikupe ushauri kidogo - ni hivi: wakati mwingine jaribu kufanya kautafiti kidogo - kumbuka mataifa mengine are equally innovative to equal or surpass the USA - mark you 'am not underrate USA contribution 2 international community all 'am saying, is: their contribution is sometimes highly inflated.

Now, back to the main point - hapa unasema ZTE haifanyi tena biashara USA,mkuu kwa taarifa yako ZTE ilikwenda mahakamani kupinga mahamuzi ya Serikali ya Merikani kupiga marufuku ZTE kufanya biashara nchini - kesi hiyo kashinda ZTE hivi sasa wanafanya biashara ndani ya Merikani kama kawa.

Kitu kingine,ni taifa gani Duniani lonalo karibia sana kuipiku Merikani kiuchumi?? Je,walifika fikaje hapo ie wanatumia mbinu gani - sasa ni kitu gani kinakupa imani kwamba USA haiwezi kushindwa Vita ya kiuchumi.
 
Umesema mengi, labda nikupe ushauri kidogo - ni hivi: wakati mwingine jaribu kufanya kautafiti kidogo - kumbuka mataifa mengine are equally innovative to equal or surpass the USA - mark you 'am not underrate USA contribution 2 international community all 'am saying, is: their contribution is sometimes highly inflated.

Now, back to the main point - hapa unasema ZTE haifanyi tena biashara USA,mkuu kwa taarifa yako ZTE ilikwenda mahakamani kupinga mahamuzi ya Serikali ya Merikani kupiga marufuku ZTE kufanya biashara nchini - kesi hiyo kashinda ZTE hivi sasa wanafanya biashara ndani ya Merikani kama kawa.

Kitu kingine,ni taifa gani Duniani lonalo karibia sana kuipiku Merikani kiuchumi?? Je,walifika fikaje hapo ie wanatumia mbinu gani - sasa ni kitu gani kinakupa imani kwamba USA haiwezi kushindwa Vita ya kiuchumi.
Kwahiyo Marekani imeshindwa vita ya kiuchumi na China? How?
Maelezo yako hakuna mahala yameonesha kutetea hoja yenu kwamba China imeishinda Marekani kwenye vita hiyo.

ZTE kufanya biashara kwa sasa ni kupoteana, Marekani haiweki vikwazo kwa kampuni kwamba itafunga ofisi ziwe magofu, wala nchi ikiwekewa vikwazo sio kwamba Marekani inaamini hiyo nchi itarudi karne ya 17. Kama Samsung ingewekewa vikwazo mwaka 2016 ikarudi leo 2022 ingetoa simu kama S22 Note? Ndicho kitu kimetokea kwa ZTE. Nenda ufuatilie jinsi kina TSMC, Apple, Samsung kila siku wako busy mno kufanya improvement.

Niliwahi jibu uzi mmoja kwanini makampuni ya ndege duniani hasa ni Airbus na Boeing ndio wameteka soko. Nilisema kuna nchi kama Japan na Ujerumani zilitakiwa ziwe na aviation industry kubwa sana kuzidi sasa ila mfano hiyo Japan kampuni zao kama Mitsubishi ziliwekewa vikwazo kwa miaka 7 baada ya WW2 na zilipofunguliwa zikakuta jet age ishashika kasi, zilirudi kwenye biashara tangu 1950s ila hadi leo hazijaweza kuwa on par na walioachwa bila vikwazo
 
Back
Top Bottom