CNN and BBC warn Jubilee to stop using their Name to spread Fake News

CNN and BBC warn Jubilee to stop using their Name to spread Fake News

Sammuel999

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2016
Posts
3,481
Reaction score
2,347
This was ealier today releases by CNN who gave out a stern warning against people Allied to the party

Also Today Infotrak released a poll

Showing Raila now Leads Uhuru

5d7e47f1d0d0390c0b2eb42caafa0744.jpg
8d608fa62fd40470bd4633c0d49f0a21.jpg
2b17acc4b93e54f59e909112eeb7b451.jpg



Yooooo' Canaan tunasija

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaelekea Uhuru Kenyatta na wapambe wake wamejipanga kufanya lolote kushinda uchaguzi huu., Kenyatta kama Kenyattta hana matatizo hisipo kuwa wapambe wake ndio wanampa ushari ambao unaweza kuitumbukiza tena Kenya kwenye vurugu ambazo safari hii zinaweza kuwa mbaya zaidi.

Siku moja nilimsikia Kenyatta akiwajia juu Majaji na Mahakama kwa kutoa visingizio visivyo na mantiki tangu siku hiyo nikajua jamaa huyu kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia si bure - kama kweli kundi la Kenyatta limepanga tena kutumia vyombo vya Dola mfano: Jeshi la ulinzi, ntelijensia na Polisi kulazimisha ushindi basi Dunia itamuona na Kiongozi wa ajabu sana.
 
Safi sana IMF and WB nao waunge tela kwenye data fake za uchumi Kenya ni wabobezi wakifake data tayari wameshashtukiwa kwenye fake economy statistics.
 
Safi sana IMF and WB nao waunge tela kwenye data fake za uchumi Kenya ni wabobezi wakifake data tayari wameshashtukiwa kwenye fake economy statistics.
Hapa ndio penyewe,
Nchi haiwezi kuwalisha Wqnanchi wake
nchi Km300 za SGR mkopo mpaka vijukuu
leo Unasema Uchumi wa kati!!

Fake,Fake kila kona ya Kenya!
 
Hapa ndio penyewe,
Nchi haiwezi kuwalisha Wqnanchi wake
nchi Km300 za SGR mkopo mpaka vijukuu
leo Unasema Uchumi wa kati!!

Fake,Fake kila kona ya Kenya!
City center ya uchumi wa kati, watu zaidi ya millions mbili wanaishi kwenye haya mazingira alafu wanajiita uchumi wa kati  😀😀😀
IMG_20170729_092621.JPG
IMG_20170727_222219.JPG
 fake fake fake
 
Na hao BBC na CNN wajinga sana mbona wao wamekuwa wakitoa ripoti fake juu ya nchi za watu
 
Back
Top Bottom