CNN are they misleading or skipping fact?! Question from Tanzania

CNN are they misleading or skipping fact?! Question from Tanzania

Kwa nini tuhangaike na hao watu ambao hawaendi na wakati ACACIA. Wao wanafikiri sisi tumelala kama enzi ya ukoloni. Waacheni watoe uongo wao na sisi tutoe uongo wetu tuone nani atashinda.

Eeeh, maelfu ya watanzania wamesambaa kila kona ya ulimwengu na wanajua lugha zote za kimataifa na wengi wamepata exposure ya maisha katika hizo nchi na wanajua jinsi ya kutumia media kama smart phones na kadhalika kwa nini tusumbuke na kuwa na wasi wasi? Kama wao wanapakaza uongo wao kwenye media na sisi tufanye hivyo hivyo. Kwa jinsi ninavyo wajua watanzania, hilo mbona sio tatizo? Kwa uongo na sisi tuko safi.

Chakufanya ni kukusanya pics na clips zote za BARIC'S na ACACIA'S migodini na sehemu zote kwenye activities zao na macontainers ambayo Rais Magufuli ameyazuia na kupost kwa kila mtanzania na marafiki zetu ambao wako katika nchi tofauti ulimwenguni kuonyesha landscape ya maeneo ya migodi ya ACACIA kabla ya machimbo na baada ya machimbo na mazingira ya wananchi wanao ishi katika maeneo yenye migodi hiyo tukionyesha maisha yao na coflicts zote ambazo zmesababishwa na kuwepo kwa ACACIA na clips zote za mazungunzo ya CEO wa BARICS na ACACIA na Rais na mikataba yote fake ambayo ACACIA imeweka na serikali ya Kikwete na kadhalika.

Watanzania inataliwa tujue kuwa hii ni vita ya media katika ya watanzania na ACACIAS. Ni vita ya maisha yetu. Ni vita ya Taifa letu na mali zetu. Tusikubali tena wazungu wstuchezee na pesa zao. Tusikubali kushindwa na kuwamchia hii vita Rais wetu peke yake. Watanzania wote lazima tushikamane kuwa kitu kimoja kutetea mali zetu kwa kuwa onyeshe wazungu wenzao uongo na unyama unaofanywa na wezi na wauaji hao wa ACACIA. Watakao tusaliti tuta jua jinsi ya ku deal nao baadae.

Wao wanatumia CNN na media zao nyingine zinazo wa Support na sisi tutatumia media za sozial net work kama Whatsapp, Instagram, Facebook, Tweeter, skype na kadhalika.

Kwa njia ya media tuta shinda tu. Badala ya sisi kujibishana hapa sisi wenyewe.



Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema vyema mkuu!
 
CNN and probably the rest of the western Jamaas are trying to deceive the world and assuming Africans are still uneducated and poor to such an extent that we can not make sound argument in the eye of the white thieves.

CNN is comparing Taxes payed by 5 Gold Companies with the Tax invoice presented to Acacia(as Gold mining company) and concluding that this amount of tax is relatively huge comparable to the sum of taxes paid by those companies.

CNN is intentionally skipping few key facts about this Saga.

1-The president comittee discovered that there was underdeclaration of amount of gold present in one container.The correct minimum amount of gold in one container was at approximate 28kg(Maximum was at 45kg).This equals to 5600kg for 200 containers which were seized for one month.Multplying this figure for 12 you will get nearly 67200kg annually.

Current world Gold producer ranks at around 90000kg annually(leave aside the underdeclaration of gold production techniques)

Tanzania has turned to be one honest Nation to speak about this grand theft world wide...is it not fair because Tanzania as a poor third world nation can not be trusted???

2-CNN has not done its homework by acting blind,Skipping another fact that in those containers it is not all about Gold but significant amount of other valuable metals were also present in those containers making Acacia a background producer of those "white" Gold.The gold company has never paid any tax to cover this so called Platinum Group Metals.

Someone will wonder how come CNN believes so much from the Company once proven guilty for tax evasion rather than the poor,politically stable and straggling Nation which for decades failed to develope despite all sorts of resources?

Someone will wonder how come CNN and the company never talk about under declaration of absolute numbers of containers claimed to be taken abroad for smelting.

Someone will wonder how come CNN does not talk about illegal existance of acacia in Tanzania.

"THE ROBBED THAT SMILES ,STEALS SOMETHING FROM THE THIEF"....By W.Shakespeare.

Thanks to D.Trump for handling CNN and the likes.

Magufuli hacheki na kima...!

CNN as well as BBC are mouth peace of Neo-Colonialists including their Multilateral companies aiming to destablise and tarnish negatively third world countries for the sake of their countries.
 
Back
Top Bottom