CNN Video: Bashar Al Asad aliyekuwa Rais wa Syria ni kielelezo cha watawala walivyo na tamaa na mafisadi. Angalia utajiri wa magari aliyojilimbikizia

CNN Video: Bashar Al Asad aliyekuwa Rais wa Syria ni kielelezo cha watawala walivyo na tamaa na mafisadi. Angalia utajiri wa magari aliyojilimbikizia

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267

Hapa duniani jamani tunapita tu....

Mtu aliye kiongozi katika nafasi ya u - Rais au nyingine yoyote serikalini unawezaje kuwa na mali zote hizi wakati muda wako mwingi, akili na mawazo ni kuwatumikia wananchi..?

Umezipata wapi mali hizi kama si kuiba na kufisadi nchi huku watu unaowaongoza 85% wakiwa hawana hata uhakika wa kuweka chochote mezani wale..?

Sasa hayupo madarakani tena na obvious watamuua kwa kumnyonga.....

Na yote haya aliyoyachuma kwa wizi na kudhulimu uhai wa wapinzani wake kama magari, fedha, majumba na mali zingine hatazikwa nazo kaburini lakini zinarudi zilikotoka...

Mwingulu Nchemba na Samia Suluhu Hassan na wenzenu jifunzeni kwa hili na tengenezeni mambo yenu kabla hayajaja kwenu na watoto wenu...
 
View attachment 3175953
Hapa duniani jamani tunapita tu....

Mtu aliye kiongozi katika nafasi ya u - Rais au nyingine yoyote serikalini unawezaje kuwa na mali zote hizi wakati muda wako mwingi, akili na mawazo ni kuwatumikia wananchi..?

Umezipata wapi mali hizi kama si kuiba na kufisadi nchi huku watu unaowaongoza 85% wakiwa hawana hata uhakika wa kuweka chochote mezani wale..?

Sasa amekufa. Na yote aliyachuma magari, fedha, majumba na mali zingine hazikwi nazo kaburini lakini zinarudi zilikotoka...

@Mwingulu Nchemba na Samia Suluhu Hassan jifunzeni kwa hili...
Ameomba apelekewe magari yake
 
View attachment 3175953
Hapa duniani jamani tunapita tu....

Mtu aliye kiongozi katika nafasi ya u - Rais au nyingine yoyote serikalini unawezaje kuwa na mali zote hizi wakati muda wako mwingi, akili na mawazo ni kuwatumikia wananchi..?

Umezipata wapi mali hizi kama si kuiba na kufisadi nchi huku watu unaowaongoza 85% wakiwa hawana hata uhakika wa kuweka chochote mezani wale..?

Sasa amekufa. Na yote aliyachuma magari, fedha, majumba na mali zingine hazikwi nazo kaburini lakini zinarudi zilikotoka...

@Mwingulu Nchemba na Samia Suluhu Hassan jifunzeni kwa hili...
Video ni fake lakin
 
Hapa duniani jamani tunapita tu....

Mtu aliye kiongozi katika nafasi ya u - Rais au nyingine yoyote serikalini unawezaje kuwa na mali zote hizi wakati muda wako mwingi, akili na mawazo ni kuwatumikia wananchi..?

Umezipata wapi mali hizi kama si kuiba na kufisadi nchi huku watu unaowaongoza 85% wakiwa hawana hata uhakika wa kuweka chochote mezani wale..?

Sasa amekufa. Na yote aliyachuma magari, fedha, majumba na mali zingine hazikwi nazo kaburini lakini zinarudi zilikotoka...
Huku kwetu wa aina hiyo wapo au hawapo?
 
Huku kwetu wa aina hiyo wapo au hawapo?
Unauliza swali lakini likiwa na jibu lake himohumo...

Huyo ni kielelezo cha hawa wa kwetu...

Wewe hikumbuki kuwa John P. Magufuli kule kwake Chato mara baada ya kufa Kuna chumba kilikutwa kimejaa pesa (USD) zaidi ya million 40...?

Acha hizo za nyumbani tena kijikini Chato...

Vipi huko benki za ndani na za nje? Vipi Mali zingine?
 
Wote sisi,tusiwe wanafiki wote tukifanikiwa au tungefanikiwa kuwa kwenye hizo nafasi tusingetofautiana matendo,kama ni kuiba tungeiba kama kuuwa tungeuwa.

Mchezo wowote ukiwa nje ya pitch utauona mzuri au m'baya but once ukiingia utajiuliza “nilichelewa wapi mimi?"
 
Hatari sana, Viongozi wetu wajifunze kuwahudumia zaidi wananchi siyo kujikita kwenye ufisadi tu.
 
zingine huwa ni Propaganda
Hata kama kweli nani na njaa hizi atakaa alipokuwa huyo asifanye aliyoyafanya?

Sometimes angezidi,ku-control hii hali taifa linatakiwa kuwa na misimamo thabiti haswa na sheria kali which is kwa hizi nchi zetu za kiwendawazimu inashindikana kwa sababu anayetunga sheria leo anawaza naye siku moja apate nafasi ya kukaa pale juu aibe so anawaza itakuwaje hiyo sheria ikamgeukia?
 
Kwa Syria naona hawatakuwa kama Arab Spring wakati ule bali wataijenga nchi yao kama Israel itawaacha
Ila tatizo linakuja Kuna vikundi kama vitatu baina yao na hilo ndio mtihani
Tuwaombee wawe na maelewano tu
 
Kithungu kigumu sana; LUXURY CAR GARAGE. Hivi hapo luxury ni hayo magari au garage? Msaada tafadhali.
 
View attachment 3175953
Hapa duniani jamani tunapita tu....

Mtu aliye kiongozi katika nafasi ya u - Rais au nyingine yoyote serikalini unawezaje kuwa na mali zote hizi wakati muda wako mwingi, akili na mawazo ni kuwatumikia wananchi..?

Umezipata wapi mali hizi kama si kuiba na kufisadi nchi huku watu unaowaongoza 85% wakiwa hawana hata uhakika wa kuweka chochote mezani wale..?

Sasa hayupo madarakani tena na obvious watamuua kwa kumnyonga.....

Na yote haya aliyoyachuma kwa wizi na kudhulimu uhai wa wapinzani wake kama magari, fedha, majumba na mali zingine hatazikwa nazo kaburini lakini zinarudi zilikotoka...

Mwingulu Nchemba na Samia Suluhu Hassan na wenzenu jifunzeni kwa hili na tengenezeni mambo yenu kabla hayajaja kwenu na watoto wenu...
Ukitaka kuthibitisha zaidi, nenda Kizinkazi kwa sasa ushangae mwenyewe. Ni viumbe wa hovyo sana ana wanafiki wa kuknuka so to speak.
 
Watz kwa kuchunguza ya wengine na kuchambua mpo makini kweli.
kuna andiko linasema toa kwanza boliti lililo ndani ya jicho lako ndipo utakapoona vyema kutoa kibanzi kwenye jicho mwenzako.

Hapa kwenu bandari imeuzwa.mbuga za wanyama na ufisadi njenje wa kuona kwa macho lakin ya huko umeyakodolea jicho haswa ni aibu kubwa sana.Wamasai walitimuliwa bila kugangamala wenyewe saivi wangekuwa msemera huko na sisi tuna watazama tu.OVYOOOO
 
I think tabia za Waarabu na sie watu weusi zina banana tu. Same as viongozi wa Africa, nao wanaibaga nyumbani halafu wanakwenda kuhifadhi nje ya bara lao; wakifa watoto wao wanadhurumiwa na hawajifunzi. Upuuzi kabisa
 
Back
Top Bottom