CNN's Richard Quest to tour Kenya

hahahaha...as always speaking nonsense...watalii wenu watapitia papa hapa nairobi upende usipende..waganda, wanyarwanda, wasomali na watz watatumia kq...na ukiumwa sana meza wembe ufeπŸ˜€πŸ˜€

Awww i made you cry.....pole

Huyu Mkenya mwenzenu ana tupa picha kile mnacho kiwaza hivi sasa.


Kama hawakupita mwaka jana na mwaka juzi, usitegemee kipya. KQ hasn't reinvented the wheel here.
 

Nadhani hata wewe unashidwa kutofautisha kati ya thamani ya hela kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine na gharama na maisha katika nchi husika. Ngoja nilipe darasa...

Vitu vikipanda bei Kenya au kushuka hakuchangiwi na thamani ya pesa kati ya nchi hizi mbili, inachangia na mfumuko wa bei (inflation) wa nchi unayotaka kutumia pesa yako. Now, kama ulikubaliana na mteja Tanzania akulipe Tshs 2,000,000 ili upate Kshs460,000 lakini kwa bahati mbaya Kshs 460,000 haitoshi hata kununua mboga, hiyo lawama hauwezi kwenda kwa Tanzania.

BTW Tshs20 mpakaTshs23.8 kwa miaka mingapi? maana hiyo ni sawa na 0.038% . Inflation ya kenya iko juu zaidi ya Tanzania.
 
Looking for their dreamliner meanwhile Kqs two dreamliner are on their way to london and south africa respectively,mitungi zao mbili ndio ziko raondi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…