Coach Abdihamid Moallin karibu kwenye timu ya wananchi

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Coach mashuhuri mwenye mbinu za kimafya anajiunga na timu ya ndoto yake Young Africans.

Coach Moallin ameaga uongozi na wachezaji wa KMC Sasa anaingia timu ya Wananchi
Sasa Dube atafunga magoli 49 Kwa msimu, maana anajua kumtumia kiwanja tangu alivokuwa Azam

Hii combination ya bench la ufundi itatisha Gamond + Moallin+ Musa Ndaw ni hatari
 
Huyu huyu aliyepigwa 4G na Mnyama majuzi??? Kocha hatari ni Juma Mwambusi na Mgunda hao wengine OGOPA MATAPELI
 
Usajili wa kocha msaidizi ndo unawapa matumaini?
 
Musa ndaw mbona mshafukuza kifutu yule
 
Kama dube hajaanza kufunga sasa hatofika hizo 49
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…