Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hersi anazidi kujaza wasomali wenzake kufikia ndoto yake ya kuifanya utopolo Al ShabaabKunywa maji mengi
Ni kweli mkuu ni kama yanga ilivyokuwa dhaifu kwa "TABORA UNITED" NA KWA CHIKOLA.Imefungwa mara nne mfululizo
Simba ndo timu dhaifu Kwa Yanga
Tano moja haiumi sana kama sita bila na tano bila. SEMA NINI TATU ZA TABORA NDIO ZINAUMA ZAIDI.5imba mna wenge
5 nyingi na zinawauma
Gamondi?Coach mashuhuri mwenye mbinu za kimafya anajiunga na timu ya ndoto yake Young Africans.
Coach Moallin ameaga uongozi na wachezaji wa KMC Sasa anaingia timu ya Wananchi
Sasa Dube atafunga magoli 49 Kwa msimu, maana anajua kumtumia kiwanja tangu alivokuwa Azam
Hii combination ya bench la ufundi itatisha Gamond + Moallin+ Musa Ndaw ni hatari
Hiyo haiko sawa. Mmeleta kocha mwingine.Gamondi yupo sana
Yanga hii unaifungajeKunywa maji mengi
Gamondi ajiandae kisaikolojia hana chake hapongara23 napata wasiwasi Gamond ataweza kufanya kazi na kocha Moulin? Anakuja kufana kazi gani tofauti na Gamond na Mousa Ndaw?
Duu lin alitufunga anavyotaka?Mmesahau alivokuwa Azam alikuwa anawafunga anavotaka
Ujinga wa yanga ni pale mnaposhabikia kumfunga yanga goli tano kama vile nyie hamjawahi kufungwa tano sifuri na simba. Tena kibaya zaidi nipale wanaposema eti mavi yazamani hayanuki yani wanasahau kama nawao waliwahi kupigwa zaidibya hizo goli5imba mna wenge
5 nyingi na zinawauma
Kwahiyo mgunda hamjamfunga mlipocheza na namungo?Huyu huyu aliyepigwa 4G na Mnyama majuzi??? Kocha hatari ni Juma Mwambusi na Mgunda hao wengine OGOPA MATAPELI
Tulia uandike vizuri unaharaka gani?Ujinga wa yanga ni pale mnaposhabikia kumfunga yanga goli tano kama vile nyie hamjawahi kufungwa tano sifuri na simba. Tena kibaya zaidi nipale wanaposema eti mavi yazamani hayanuki yani wanasahau kama nawao waliwahi kupigwa zaidibya hizo goli