Coalition of the willing kagame and museveni msaidieni mwenzenu dhidi ya magaidi

Coalition of the willing kagame and museveni msaidieni mwenzenu dhidi ya magaidi

Vile vile SADC wameshindwa kuwasaidia ninyi kuzuia mabomu Zanzibar, Arusha na magaidi wengine tunaskia wanaitwa Panya huko Dar es Salaam.
 
Mkulu ile ni coalition dhidi ya Tanzania. Hamna lolote. We tangu Kenya ishambuliwe na hao wanamgambo umewahi msikia m7 au PaKa ameongea lolote kuhusu kumsaidia mwenzao??? Japo kumpa pole tu cow mwenzao.
 
Unafiki mkubwa unaonyeshwa na kagame na museveni kwa kushindwa kumsaidia mwenzao dhidi ya al shaabab nafikiri ni coalition ya kinafiki isiyo ya future bali ililenga kupambana na tanzania i think kenyata amepata cha kujifunza

Wakenya wamekuja kuomba mafuta ya ndege tz badala ya kwenda kwa rafiki yao Rwanda na Uganda. Still wanaitegemea Tz kwa chakula. Shame on u "coalition of hypocrites"
 
Huku sasa sio,nna safari ya Nairobi karibuni.nalog off
Wakenya wamekuja kuomba mafuta ya ndege tz badala ya kwenda kwa rafiki yao Rwanda na Uganda. Still wanaitegemea Tz kwa chakula. Shame on u "coalition of hypocrites"
 
Vile vile SADC wameshindwa kuwasaidia ninyi kuzuia mabomu Zanzibar, Arusha na magaidi wengine tunaskia wanaitwa Panya huko Dar es Salaam.

subiri hukumu ya Malkia kuhusu kisiwa cha Migingo, Museveni na Kenyatta waanze kupigana
 
Vile vile SADC wameshindwa kuwasaidia ninyi kuzuia mabomu Zanzibar, Arusha na magaidi wengine tunaskia wanaitwa Panya huko Dar es Salaam.
Teh teh tihiiii yaani wewe unafananisha na nchi ambayo imepigwa siku mbili mfurulizo na wanamgambo bila majibu. Na bado subirini vipigo zaidi. Maana non Kikuyu et al wanapambana ili kuwaondoa nyie successors Wa wakoloni.
 
vile vile sadc wameshindwa kuwasaidia ninyi kuzuia mabomu zanzibar, arusha na magaidi wengine tunaskia wanaitwa panya huko dar es salaam.

hivi nchi inavamiwa na magaidi siku ya kwanza halafu wanarudi tena hata jeshi la nchi halikuchukua hatua ku patrol the area matokeo yake wametelekeza wananchi wakauwawa siku iliyofuata kama kagame kweli is a willing partner pamoja na museveni mbona hawaku share intelligence na uhuru
 
hivi nchi inavamiwa na magaidi siku ya kwanza halafu wanarudi tena hata jeshi la nchi halikuchukua hatua ku patrol the area matokeo yake wametelekeza wananchi wakauwawa siku iliyofuata kama kagame kweli is a willing partner pamoja na museveni mbona hawaku share intelligence na uhuru

Kuna kale kamuungano kengine, walisema mwanachama mmoja akichokozwa basi wengine nao watakuwa wamechokozwa. Mbona mpaka Sasa kuko kimya??? Hiyo inaonesha jinsi gani cow walivyo na akili za ng'ombe. Ndiyo maana wanasaini mikataba bila kufikiri.
 
Vile vile SADC wameshindwa kuwasaidia ninyi kuzuia mabomu Zanzibar, Arusha na magaidi wengine tunaskia wanaitwa Panya huko Dar es Salaam.

between kenya and tz, which country is having the worst insecurity puzzle for an urgent assistance from allies?. obviously it's kenya.
 
Teh teh tihiiii yaani wewe unafananisha na nchi ambayo imepigwa siku mbili mfurulizo na wanamgambo bila majibu. Na bado subirini vipigo zaidi. Maana non Kikuyu et al wanapambana ili kuwaondoa nyie successors Wa wakoloni.

hahaha.huyu mkenya mkikuyu lawmaina78 kwa sasa amekuwa kama rafiki yangu,ila kuna wakati huwa posts zake zinachekesha sana.huwa simuelewi kabisa.hahaha
 
Last edited by a moderator:
hivi hawa watu mlikuwa hamuwajui yote yale ilikuwa kuitisha Tanzania ila wamebaki na mshangao baada ya kuona hakuna mwenye habari nao
 
Mkulu ile ni coalition dhidi ya Tanzania. Hamna lolote. We tangu Kenya ishambuliwe na hao wanamgambo umewahi msikia m7 au PaKa ameongea lolote kuhusu kumsaidia mwenzao??? Japo kumpa pole tu cow mwenzao.
Ndugu yangu si mambo yote kuongelewa ndio kuonyesha kwamba kuna ushirikiano,hawa watu kuna mambo mengine si lazima kutangaza sana sana kuhusiana na ulinzi na usalama na ukizingatia kwamba hiyo terrorism inafanywa na mataifa makubwa pamoja na majirani wa kenya.
 
Kuna kale kamuungano kengine, walisema mwanachama mmoja akichokozwa basi wengine nao watakuwa wamechokozwa. Mbona mpaka Sasa kuko kimya??? Hiyo inaonesha jinsi gani cow walivyo na akili za ng'ombe. Ndiyo maana wanasaini mikataba bila kufikiri.
Wewe hujui kinacho endelea,subiri utaona matokeo yake,hao magaidi dawa yao inapikwa na imegundulika nimpango uliosukwa na wafaransa na southafrika ili kumuondoa uhuru kwa kumtumia laila,hayo mabomu si ya alshababu.
 
Wewe hujui kinacho
endelea,subiri utaona matokeo yake,hao magaidi dawa yao inapikwa na
imegundulika nimpango uliosukwa na wafaransa na southafrika ili
kumuondoa uhuru kwa kumtumia laila,hayo mabomu si ya alshababu.

toa facts hapa siyo unabwabwaja tu france na sa wanahusika vipi na internal affairs nchini kenya?
 
hahaha.huyu mkenya mkikuyu lawmaina78 kwa sasa amekuwa kama rafiki yangu,ila kuna wakati huwa posts zake zinachekesha sana.huwa simuelewi kabisa.hahaha

Wewe sioni jinsi unavyojifanya huelewi kinachoendelea huku, Wabongo wengine wanaruhusa ya kubweteka wanapojadili fujo za mpeketoni, lakini Mbongo anayeelewa mambo ya Kikenya anapita kimya. Jiulize
- Polisi walipewa taarifa na usalama wa taifa kuhusu mashambulizi kabla hayajatokea
- Wasafiri kadhaa walitahadharishwa na polisi barabara kuu, kuwa wasiende Mpeketoni maana kutakua na matukio
- Ikawaje Alshabaab wasafiri kilomita 130 tokea mpakani na hawakumpiga yeyote njiani, iwe tu walifululiza moja kwa moja hadi Mpeketoni.
- Dereva wa gari moja ameshikwa na kumtaja aliyempa Ksh 20,000 kuwasafirisha jamaa
- Ishamel Omondi aliyepost Twitter kuwa Alshabaab wamehusika, alishikiwa Kariokoo ya Kenya
- Kamanda wa polisi bwana Omollo ameasimamishwa kazi maana alipewa taarifa kuhusu mashambulizi kabla hayajafanyika na hakuzuia.

Kuna mengi ya kutaja hapa, lakini hamna haja maana nawaachia nafasi mzidi kubeza kabla hamjapigwa vibao na matukio yatakayofuatia. Tayari jamaa wameuwawa watano.
 
MAINA. UNAAMANISHA NI KAZI YA WALUO HAHA laila

Sijataja kabila lolote wala kumhusisha Raila, ila ngoma inaeleweka hata Alshabaab walishtukia tukio lenyewe baada ya kuona taarifa za habari. Uchunguzi unafanywa kimya na taarifa zitaporomoka hivi karibuni.
 
Sijataja kabila lolote wala kumhusisha Raila, ila ngoma inaeleweka hata Alshabaab walishtukia tukio lenyewe baada ya kuona taarifa za habari. Uchunguzi unafanywa kimya na taarifa zitaporomoka hivi karibuni.

Kamwambie Uhuru asijaribu kumbebesha Laila hilo saga ataivunja Kenya vipandevipande. Haki kabisa iapokuwa sipendi majisifu yenu pia sipendi kenya isambalatike.

Unajua kabisa kenya hakuns vyama vya siasa bali Muungano wa makabila.

Mwambie Uhuru hey don't try this at state house
 
Back
Top Bottom