Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafiki mkubwa unaonyeshwa na kagame na museveni kwa kushindwa kumsaidia mwenzao dhidi ya al shaabab nafikiri ni coalition ya kinafiki isiyo ya future bali ililenga kupambana na tanzania i think kenyata amepata cha kujifunza
Wakenya wamekuja kuomba mafuta ya ndege tz badala ya kwenda kwa rafiki yao Rwanda na Uganda. Still wanaitegemea Tz kwa chakula. Shame on u "coalition of hypocrites"
Vile vile SADC wameshindwa kuwasaidia ninyi kuzuia mabomu Zanzibar, Arusha na magaidi wengine tunaskia wanaitwa Panya huko Dar es Salaam.
Teh teh tihiiii yaani wewe unafananisha na nchi ambayo imepigwa siku mbili mfurulizo na wanamgambo bila majibu. Na bado subirini vipigo zaidi. Maana non Kikuyu et al wanapambana ili kuwaondoa nyie successors Wa wakoloni.Vile vile SADC wameshindwa kuwasaidia ninyi kuzuia mabomu Zanzibar, Arusha na magaidi wengine tunaskia wanaitwa Panya huko Dar es Salaam.
vile vile sadc wameshindwa kuwasaidia ninyi kuzuia mabomu zanzibar, arusha na magaidi wengine tunaskia wanaitwa panya huko dar es salaam.
hivi nchi inavamiwa na magaidi siku ya kwanza halafu wanarudi tena hata jeshi la nchi halikuchukua hatua ku patrol the area matokeo yake wametelekeza wananchi wakauwawa siku iliyofuata kama kagame kweli is a willing partner pamoja na museveni mbona hawaku share intelligence na uhuru
Vile vile SADC wameshindwa kuwasaidia ninyi kuzuia mabomu Zanzibar, Arusha na magaidi wengine tunaskia wanaitwa Panya huko Dar es Salaam.
Teh teh tihiiii yaani wewe unafananisha na nchi ambayo imepigwa siku mbili mfurulizo na wanamgambo bila majibu. Na bado subirini vipigo zaidi. Maana non Kikuyu et al wanapambana ili kuwaondoa nyie successors Wa wakoloni.
Ndugu yangu si mambo yote kuongelewa ndio kuonyesha kwamba kuna ushirikiano,hawa watu kuna mambo mengine si lazima kutangaza sana sana kuhusiana na ulinzi na usalama na ukizingatia kwamba hiyo terrorism inafanywa na mataifa makubwa pamoja na majirani wa kenya.Mkulu ile ni coalition dhidi ya Tanzania. Hamna lolote. We tangu Kenya ishambuliwe na hao wanamgambo umewahi msikia m7 au PaKa ameongea lolote kuhusu kumsaidia mwenzao??? Japo kumpa pole tu cow mwenzao.
Wewe hujui kinacho endelea,subiri utaona matokeo yake,hao magaidi dawa yao inapikwa na imegundulika nimpango uliosukwa na wafaransa na southafrika ili kumuondoa uhuru kwa kumtumia laila,hayo mabomu si ya alshababu.Kuna kale kamuungano kengine, walisema mwanachama mmoja akichokozwa basi wengine nao watakuwa wamechokozwa. Mbona mpaka Sasa kuko kimya??? Hiyo inaonesha jinsi gani cow walivyo na akili za ng'ombe. Ndiyo maana wanasaini mikataba bila kufikiri.
Wewe hujui kinacho
endelea,subiri utaona matokeo yake,hao magaidi dawa yao inapikwa na
imegundulika nimpango uliosukwa na wafaransa na southafrika ili
kumuondoa uhuru kwa kumtumia laila,hayo mabomu si ya alshababu.
hahaha.huyu mkenya mkikuyu lawmaina78 kwa sasa amekuwa kama rafiki yangu,ila kuna wakati huwa posts zake zinachekesha sana.huwa simuelewi kabisa.hahaha
MAINA. UNAAMANISHA NI KAZI YA WALUO HAHA laila
Sijataja kabila lolote wala kumhusisha Raila, ila ngoma inaeleweka hata Alshabaab walishtukia tukio lenyewe baada ya kuona taarifa za habari. Uchunguzi unafanywa kimya na taarifa zitaporomoka hivi karibuni.