Coalition of the willing kagame and museveni msaidieni mwenzenu dhidi ya magaidi

Coalition of the willing kagame and museveni msaidieni mwenzenu dhidi ya magaidi

Unafiki mkubwa unaonyeshwa na kagame na museveni kwa kushindwa kumsaidia mwenzao dhidi ya al shaabab nafikiri ni coalition ya kinafiki isiyo ya future bali ililenga kupambana na tanzania i think kenyata amepata cha kujifunza

Acha utani ndugu, Hawa ng'ombe muungano wao ni wakimaendeleo zaidi lakini kwenye shida watakimbiana. Nadhani Kenya ni nyepesi kuiomba TZ msaada kwenye shida kuliko Uganda na Rwanda kwasababu wanajua japo na upumbuvu na dharau zao bado sisi ni jirani bora kuliko hao wawili.
 
Atakayepatikana na hatia atabeba mzigo tu, awe nani wala nani, Wakenya wanasubiri tena kwa hamu sana kieleweke. Huwa hatuchelewi, hatukawii na kawaida hatuogopi inapofikia maamuzi.

maamuzi yapi ya kuchinjana mpaka makanisani kama mlivyofanya kwenye uchaguzi wa kibaki? ..watanzania tunasubiri tu kuitwa kuja kuwasuluhisha as always.
 
Nimekueleza mimi sio shabiki wa Kagame, jamaa simpendi kwa tuhuma za kukandamiza demokrasia hadi kuwafuata wapinzani na kuwanyongea Afrika Kusini, ila namkubali sana jinsi amebadilisha uchumi wa nchi yake.
kwa sasa Rwanda inafaa kufuatwa kama mfano na nchi zote Afrika, yaani nchi ndogo isiyo na madini, na hata vivutio vyake vya utalii bado duni, lakini wamekaza buti na kuibuka washindi. Ninyi mumekomalia tu kwamba wanaiba madini Kongo, kwani hao Wakogo ni mabwe.ge wame wanaibiwa kila siku.


Nani asiyefahamu kuwa wizi wa madini Congo umehusisha nchi nyingi hata za ughaibuni. Wakongo kama wameruhusu ulimwengu uwakojolee, hiyo ni shida yao na wao, tatizo lenu nini, afu hata kwenu taarifa zinaonyesha madini yenu hayawanufaishi wananchi wa kawaida, badala ya kusuluhisho hilo mmekimbilia kumuita Kagame mwizi, hebu soma hapa Home


Kagame amefaulu sana Rwanda kiuchumi.
- Kwa miaka mitano tu, GDP imekua kwa asilimia nane
- Nchi yake haina madini, ametegemea sana ukuaji wa utalii na huduma
- Amefanya mabadiliko makubwa kwenye technolojia ya nchi
Hebu isome Vision 2020 ya Rwanda na milestones ambazo wamefaulu kutimiza. Kwanza weka chuki na wivu pembeni halafu usome taratibu, baada ya kuelewa baadaye ivae hiyo chuki tena.

ungeweka na asilimia ya misaada (foreign aid) kwenye hiyo bajeti ya hiyo miaka mitano ingekuwa poa sana. Vinginevyo kunishawishi kuwa kuna utalii wa kuongeza GDP by 8% itakuwa ngumu. kwa vivutio gani? yale mafuvu ya wahutu gisozi? cc: @JustDoItNow
 
Acha kuongopea watu wewe! 1. Uchumi wa Rwanda uliwahi kukua mpaka kufika 8%,lakini toka m23 wamesambaratishwa kule DRC,uchumi wa Rwanda umeshuka kuja 5%(.2013/2014)
2. Ni utalii gani unaochangia kukuza pato la Rwanda?. Taja jina na asilimia inayochangia. Ni huduma gani zinasaidia kukua uchumi wa Rwanda? Weka jina na asilimia. Kama hauna hizo data bora unyamaze tu.
Nimekueleza mimi sio shabiki wa Kagame, jamaa simpendi kwa tuhuma za kukandamiza demokrasia hadi kuwafuata wapinzani na kuwanyongea Afrika Kusini, ila namkubali sana jinsi amebadilisha uchumi wa nchi yake.
kwa sasa Rwanda inafaa kufuatwa kama mfano na nchi zote Afrika, yaani nchi ndogo isiyo na madini, na hata vivutio vyake vya utalii bado duni, lakini wamekaza buti na kuibuka washindi. Ninyi mumekomalia tu kwamba wanaiba madini Kongo, kwani hao Wakogo ni mabwe.ge wame wanaibiwa kila siku.


Nani asiyefahamu kuwa wizi wa madini Congo umehusisha nchi nyingi hata za ughaibuni. Wakongo kama wameruhusu ulimwengu uwakojolee, hiyo ni shida yao na wao, tatizo lenu nini, afu hata kwenu taarifa zinaonyesha madini yenu hayawanufaishi wananchi wa kawaida, badala ya kusuluhisho hilo mmekimbilia kumuita Kagame mwizi, hebu soma hapa Home


Kagame amefaulu sana Rwanda kiuchumi.
- Kwa miaka mitano tu, GDP imekua kwa asilimia nane
- Nchi yake haina madini, ametegemea sana ukuaji wa utalii na huduma
- Amefanya mabadiliko makubwa kwenye technolojia ya nchi
Hebu isome Vision 2020 ya Rwanda na milestones ambazo wamefaulu kutimiza. Kwanza weka chuki na wivu pembeni halafu usome taratibu, baada ya kuelewa baadaye ivae hiyo chuki tena.
 
Wakenya tokea washindwe kuwakamata Allshabab Westgate matokeo yake wakaanza kuiba simu hata siwaamini kabisa.!
 
Back
Top Bottom