Coastal Union 1-2 Simba SC| Uwanja Wa Mkwakwani - Tanga| Ligi Kuu ya NBC

Nani kakosa, mbona humu hamleti taarifa kamili yaani inakuwa kama mtu anasimuliana na mwenzie anayeangalia nae mpira. Humu wengine ndio tunapategemea kupata update ya matukio wakuu
Ilipigwa kona na kapombe, wawa akapiga header mlinzi wa coastal akaokoa ikagonga mwamba ilivyorudi ikapigwa tena kisigino ikaingia ndani ikavuka mstari halafu mlinzi akaurudisha nje tena

Refa akaamua kuwa sio goli na kuweka goal kick
 
Kwahiyo mlitarajia Simba Sc ifungwe?? Katika kipindi hiki cha ligi sio muda wa kutarajia Simba Sc ipoteze.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tumechomoa. Hata hivyo hizi mbwembwe za ushindi Mkwakwani ni kukusindikiza tu. Kimahesabu Uto bingwa labda miujiza ya Mayele kujifunga kila mechi itokee [emoji1787]
Watu wa mpira tunalielewa vizuri Sana hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…