Hapana sio uwanja ni simba wenyewe tu kulingana na hiki kipindi cha mfungo wamekuwa wanatusumbua sanaNajiuliza mbali ya uwanja, Wachezaji wa Simba ni fatique au nini?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
😂🤣😅😆😁😄😃😀Makolo wenzangu tushukuru kadi nyekundu imetubeba
Hahahaaa. Afadhali unalijua hilo rafiki.🤣🤣🤣🤣 Tumechomoa. Hata hivyo hizi mbwembwe za ushindi Mkwakwani ni kukusindikiza tu. Kimahesabu Uto bingwa labda miujiza ya Mayele kujifunga kila mechi itokee 🤣
Jamaa anajua sana kucheza na nafasi.
Simba HoyeeBado sekunde 2
Coastal wananafasi ya kurudisha
Utopolo shut up !...Makolo wenzangu tushukuru kadi nyekundu imetubeba
Haya enjoy sasa mnyama mwenzanguAfadhali mpira umeisha