Coastal Union 1-2 Simba SC| Uwanja Wa Mkwakwani - Tanga| Ligi Kuu ya NBC

Coastal Union 1-2 Simba SC| Uwanja Wa Mkwakwani - Tanga| Ligi Kuu ya NBC

Naomba kuuliza wakuu

Hii mechi ya Leo ilikuwa haina kadi nyekundu?
 
GENTAMYCINE hapa sijakuelewa aanzishe uzi mwingine afu wewe umetoa maelezo ya uzi 🤣🤣

FDBC91EA-861C-487D-8B93-80B2CBAFA9B5.jpeg
 
Ilipigwa kona na kapombe, wawa akapiga header mlinzi wa coastal akaokoa ikagonga mwamba ilivyorudi ikapigwa tena kisigino ikaingia ndani ikavuka mstari halafu mlinzi akaurudisha nje tena

Refa akaamua kuwa sio goli na kuweka goal kick
🤣🤣🤣🤣
Hawa marefa wetu AFCON na Word Cup final watazichezeshea kwenye screen za TV pekee. Sasa hapo Goalkick imetoka wapi? Ni labda goal au mpira ungeendelea kuchezwa kama mpira haukuvuka mstari wa goli
 
Nakazia Mkuu.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bhweheheheheheh! Hahahahaaaaaaa, hihihihiiiiiiiiiiiii.........mbala, mbele, mbili, .........., angalia sasa utopolo anaotaka kusema[emoji23], haya basis namalizia, mbulu.
 
View attachment 2179312

Full Time: Simba inapata ushindi na kufikisha pointi 40 katika Ligi Kuu Bara.

Dakika ya 90, Meddie Kagere anaifungia Simba bao la pili kwa shuti kali.

Simba wanaongeza presha zikiwa zimesalia dakika saba.

Coastal baada ya kuwapa presha Simba wanafanikiwa kusawazisha bao.

Kipindi cha pili kinaendelea

Timu zote zinashambuliana kwa zamu, Coastal hawajataka kubaki nyuma kulinda, wanapanda na kuwapa upinani Simba.

Kipindi cha Pili kimeanza matokeo bado ni 1-0.

Kipindi cha kwanza kimekamilika, Simba wanaongoza bao 1-0 lililofungwa na Bernard Morrison baada ya beki wa Coastal Union kujichanganya.

Mchezo ni mguu na timu zote zinashambuliana kwa zamu, ukuta wa Coastal unakuwa mgumu na Simba wanashindwa kuupita.

===================

Katika NBC Premier League, leo Ikiwa ni Karume Day, kuna mechi baina ya Simba Sc dhidi ya Coastal Union FC.

Simba wanataka alama tatu ili waendelee kujikita kwenye Nafasi ya Pili mwa msimamo wakati Coastal Union nao wanazitaka alama tatu ili wapande Ili wasiteremke Ligi Kuu.

Mechi hi itapigwa katika dimba la Uwanja Wa Mkwakwani, Tanga kuanzia saa 10:00 Jioni

Je, ni Mnyama ama Wagosi wakaya nani kuondoka na alama tatu?

Wagosi Wakaya Kunani Pale.

Scars
View attachment 2179085
Simba bila red card au penalty hawanaga ushindi NBC league
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hihihihihihiiiiiiiii[emoji23] naona jinsi ulivyoumia
 
Back
Top Bottom