Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Kwa wale mlioanza kuingia kwenye wendawazimu wa mpira Leo huku mapovu yakiwatoka wenzenu wakiweka mada humu nawakumbusha Coastal Union ilikuwa moja ya timu hatari kabisa hapa bongo, Leo mnaotukana humu mitandaoni mjiulize kimoyomoyo kama mliwahi kumuona huyu kocha wa coastal Union, Juma Mgunda.
Coastal ilikuwa golini Mohamed Mwameja au marehemu Hamis Makene, kulia Joseph Lazaro, huku kushoto akicheza Douglas Mhani, nne Yassin Abuu Napili sentahafu marehemu Idrisa Ngulungu, sita Ally Maumba, winga Kassim Mwajeki, nane Kassa Mussa, tisa Juma Mgunda, kumi Hussein Mwakuruzo na kushoto ni Razack Yussuf Careca.
Hili chama hili, nyie mnaoshinda kutukana humu hamjui tulikotoka,.mnaishia kutukana tu, pumbavu kabisa.
Coastal ilikuwa golini Mohamed Mwameja au marehemu Hamis Makene, kulia Joseph Lazaro, huku kushoto akicheza Douglas Mhani, nne Yassin Abuu Napili sentahafu marehemu Idrisa Ngulungu, sita Ally Maumba, winga Kassim Mwajeki, nane Kassa Mussa, tisa Juma Mgunda, kumi Hussein Mwakuruzo na kushoto ni Razack Yussuf Careca.
Hili chama hili, nyie mnaoshinda kutukana humu hamjui tulikotoka,.mnaishia kutukana tu, pumbavu kabisa.