Coastal union na leo pia muwaombee albadil waliowahujumu dhidi ya Namungo

Coastal union na leo pia muwaombee albadil waliowahujumu dhidi ya Namungo

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Mara nyingi mpira ni mchezo wa wazi Sana Kama timu yako ni mbovu basi ni mbovu tu usitafute kichaka cha kufichia madhaifu yako, leo tena Coastal Union imelambishwa mchanga na namungo goli 3 kwa 1, walipofungwa na yanga wakasema wamehujumiwa sasa na leo wamehujumiwa?

Wameshindwa kurekebisha timu yao mapungufu yaliyopo wamebaki kuendekeza imani za kipuuzi matokeo yake wamegongeshwa tena leo!
 
Mpira ni uwekezaji, Weka fedha na mipango sahihi ili upate matokeo sahihi. Angalia Yanga wanavyo nenepa, Haikua kazi ya siku mmoja waliteseka Sasa wameanza kura raha na inaonekana bado wanaendelea kuwekeza.
 
Coastal bado wana wenge la kufungwa na Yanga, na kwa bahati mbaya hawakuwa na plan b ya baada ya kufungwa!
 
Ngoja tuone albadri bado ipo hewani inasachi network.
 
Back
Top Bottom