Mjini shule mkuu, Ali kiba ni Geniousdah bongo nyoso... mzamini anazamini milioni 80 halafu anaomba kazi hapo hapo kwa mshahara milioni 10.. hela anaitoa mkono wa kushoto milion 80 ya uzamini kwa mwaka... na mwaka huo huo anapokea salary milioni 120 kwa mkono wa kulia
taifa la janja janja hili. magufuli akifunga mianya tunalalamika
Kwenye historia tulisoma ilkua ikiitwa BOGUS TREATYdah bongo nyoso... mzamini anazamini milioni 80 halafu anaomba kazi hapo hapo kwa mshahara milioni 10.. hela anaitoa mkono wa kushoto milion 80 ya uzamini kwa mwaka... na mwaka huo huo anapokea salary milioni 120 kwa mkono wa kulia
taifa la janja janja hili. magufuli akifunga mianya tunalalamika
Kwenye historia tulisoma ilkua ikiitwa BOGUS TREATY
simba mbona ipo hiyo...kagere 12,okwi 10,niyonzima 8...hao wa tano wapo kibaooo na gari juu plus nyumbaHapo naona mapicha picha tu.
Hivi tuwe serious kidogo, klabu ya bongo imlipe mchezaji mshahara wa 10m ?
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mbavu zanguKwenye historia tulisoma ilkua ikiitwa BOGUS TREATY
.Hapo naona mapicha picha tu.
Hivi tuwe serious kidogo, klabu ya bongo imlipe mchezaji mshahara wa 10m ?
.Hata milion tano haiwezekani
Itakua!Labda milioni kumi za Zimbabwe.
Hadi dhambiAcha kutukana wenzako bila sababu, kakukosea nini? anakuzidi kwa mengi mpaka umaarufu.
NI vitu sawa na ndiyo maana wameshindwa kumlipa alikiba, kushindwa huko kumeathiri mkataba na kusababisha Mo Faya isilipe kiasi cha milioni 40 kilichobaki ili kufidia miezi minne ambayo Kiba hakulipwa. Sasa hapo unasemaje ni vitu tofauti?kama jambo hulijui kaa kimya.
alikiba
king kiba
mofaya
ni vitu vitatu tofauti kwenye swala la mkataba. brand tofauti
Nadhani ilikua alipwe hizo sio kwa performance yake uwanjani bali kwa jina lake ambalo ni "Brand"Mln 10 kwa mpira upi
Ova
Ah ni vituko kweli!Nadhani ilikua alipwe hizo sio kwa performance yake uwanjani bali kwa jina lake ambalo ni "Brand"
Labda swali la kujiuliza ni kua,ina maana wakati wanaingia nae mkataba hawakujua kua hawatokua na uwezo wa kumlipa huo mshahara? au walijua ila kuna game tu walikua wanalicheza hapa?"
NI vitu sawa na ndiyo maana wameshindwa kumlipa alikiba, kushindwa huko kumeathiri mkataba na kusababisha Mo Faya isilipe kiasi cha milioni 40 kilichobaki ili kufidia miezi minne ambayo Kiba hakulipwa. Sasa hapo unasemaje ni vitu tofauti?
Ingekuwa tofauti Mofaya bado ingelipa hiyo milioni 40 iliyobaki
Uko sawa kabisa lakini kwa maelezo ya mleta mada inaelekea mkataba wa Mofaya na coastal Union umekuwa affected moja kwa moja na kutolipwa mshahara alikiba.natamani kukuelezea kuandika ndio kazi jua kunatofauti kubwa.
mfano ukiidai mofaya haimaanishi unamdai alikiba.
kampuni ya mofaya ikakopa ikashindwa kulipa alikipa hafilisiwa itafilisiwa mofaya.
ukimkopesha alikiba huwezi kwenda kuidai mofaya.
Afadhali umemaliza hii battle. Naona wa juu kabisa ni 8.7
Mmmh Simba hii Simba. Kuna jamaa kaweka chart ya mishahara mikubwa soka la bongo. Wa juu kabisa ni 8.7m . Msaada wa sourcr yako pleasesimba mbona ipo hiyo...kagere 12,okwi 10,niyonzima 8...hao wa tano wapo kibaooo na gari juu plus nyumba