Coastal Union yashusha straika mpya 'Bagayoko' kutoka Mali, kuanza na KMC

Coastal Union yashusha straika mpya 'Bagayoko' kutoka Mali, kuanza na KMC

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Klabu ya Coastal Union imemtambulisha mshambuliaji mpya raia wa Mali, Amara Bagayoko.

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 26 amesajiliwa kama mchezaji huru mara ya mwisho akiichezea Asko Kara msimu wa 2023/24 katika Ligi Kuu ya Togo akifunga mabao 19.
IMG_2089.jpeg

Tayari nyota huyo amewasili nchini na yupo kambini akiisubiri mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya KMC, utakaopigwa kesho Desemba 29 kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha.
 
Huyu hamna hamna ni miaka 35,

Ngoja tumuone uwanjani, fundi kweli ama kaja kuchukua pension
 
Straika hatari sana yanga walikuwa wanamtaka wakashindwa baada ya kostali kupanda dau.
 
Back
Top Bottom