Coca-Cola, Pepsi na Starbucks zasitisha biashara Urusi

Coca-Cola, Pepsi na Starbucks zasitisha biashara Urusi

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Coca-Cola, Starbucks, Pepsi na McDonald's zimeungana na Kampuni nyingine kusitisha Biashara Nchini Urusi kutokana na uvamizi uliofanywa Ukraine. Kumekuwepo na shinikizo kutaka Biashara kuchukua hatua kama ishara ya kupinga mateso wanayopata Wananchi

Kwa upande wao, Pepsi imesema itasitisha kuuza kinywaji na kufanya uwekezaji mwingine lakini Kampuni hiyo itaendelea kuuza bidhaa muhimu zikiwemo Maziwa na Chakula cha Watoto

======

Consumer giants including McDonald's, Coca-Cola and Starbucks have joined the list of firms halting business in Russia due to the invasion in Ukraine.

McDonald's said it was temporarily closing its roughly 850 restaurants in Russia, while Starbucks also said its 100 coffee shops would shut.

McDonald's said the move was a response to the "needless human suffering unfolding in Ukraine".

The company said it was "impossible to predict" when it would reopen.

"The conflict in Ukraine and the humanitarian crisis in Europe has caused unspeakable suffering to innocent people," chief executive Chris Kempczinski said in a memo to staff that was shared publicly.

"As a system, we join the world in condemning aggression and violence and praying for peace."

McDonald's said it would continue to pay its roughly 62,000 staff in Russia. The firm has also been experiencing supply chain issues there.

McDonald's, Coca-Cola and other companies have been under pressure to act as Russian violence against civilians has escalated.

#BoycottMcDonalds and #BoycottCocaCola were trending on Twitter on Monday and over the weekend respectively.

Dozens of well-known firms including Netflix and Levi's have already suspended sales or stopped providing services in Russia amid severe sanctions imposed by Western allies.

McDonald's established its presence in Moscow in 1990, as the Soviet Union was opening its economy, drawing thousands for its burgers and fries

As tensions with the West increased in 2014 over Russia's annexation of Crimea, some of its restaurants were shut as part of an investigation into food standards, which many saw as politically motivated.

The closure now likewise carries symbolic weight, and is likely to influence other firms

McDonald's owns a majority of its stores in Russia. Combined with Ukraine, the restaurants account for about 9% of the firm's revenue and about 2% of global sales

It has also temporarily closed its 108 restaurants in Ukraine, where it continues to pay salaries and has donated $5m to an employee assistance fund.

McDonald's said its Ronald McDonald House Charities would remain active in Ukraine and Russia.

Mr Kempczinski said the firm had made the decision over the last week. In addition to staff, the move will affect hundreds of suppliers and the millions of customers McDonald's serves in Russia each day

The fast food chain joins a growing list of western brands to cut ties with Russia over its attack on Ukraine.

Coca-Cola on Tuesday said it was suspending operations in Russia, which accounted for roughly 2% of the firm's operating revenue and income. It also has a roughly 20% ownership stake in a bottling and distribution business in Russia

Starbucks also announced it would stop all business activity in the country, including shipments of Starbucks products

The coffee chain's licensee in the country will temporarily shut more than 100 stores it operates there. The licensee, Kuwait-based Alshaya Group, will continue pay its roughly 2,000 employees, Starbucks said.

Growing backlash

Other major global brands joining the backlash on Tuesday included the world's largest music company, Universal Music Group, which said it was suspending all operations in Russia and closing its offices there

"We urge an end to the violence in Ukraine as soon as possible," the firm said in a statement sent to the BBC

Unilever, maker of Marmite, Dove beauty products and PG Tips among other brands, also said it had suspended trade with Russia and planned to halt its advertising and media spending and investments there

It said it would continue to supply "everyday essential food and hygiene products" that are made in Russia

L'Oreal, the world's biggest cosmetics company, is also shutting its stores and concessions in Russia and suspending online sales

However, some firms have have defended plans to continue operating in Russia, including Uniqlo owner Fast Retailing, whose founder told Japan's Nikkei newspaper that "clothing is a necessity of life"

Pepsi, which has a much larger presence in Russia than rival Coca-Cola, said it was halting the production and sale of Pepsi and other global brands in Russia and suspending capital investments and advertising, citing "horrific events" in Ukraine

But the company, which started operating in Russia during the Cold War and now employs 20,000 people there, said it would continue to offer other products

"As a food and beverage company, now more than ever we must stay true to the humanitarian aspect of our business," boss Ramon Laguarta said. "That means we have a responsibility to continue to offer our other products in Russia, including daily essentials such as milk and other dairy offerings, baby formula and baby food."

Source: BBC
 
Kwa maelezo ya maza Coca-Cola na Pepsi nazo zitapanda bei huko Tanzania?
 
Watakunywa chemi-cola [emoji2][emoji2][emoji1787], kapepsi baridi kalivyo katamu hivyo jamani[emoji39][emoji39]
 
Nina support kubwa kwa Putin kwakua NATO wanamuonea lakini ukweli mchungu, Warusi wengi wanapenda kuishi maisha ya style ya Marekani.

Ujamaa imepitwa na wakati hasa mnapoona viongozi wenu wamekua matajiri wa kutupwa na nyinyi mmekus masikini wa kutupwa. kwa msingi wa Ujamaa.
 
Wananchi watapata tabu Sana kwa ajili ya mzee mmoja mkaidi!
 
Huo mtazamo wako nauita ni MYOPIC VIEW (Mtazamo Finyu)

Hizo kampuni 3 za Coca-Cola,Pepsi na Starbucks zimeajiri wananchi wa Urusi 750,000/= kwa pamoja. Sasa hao watu ajira ndio Basi Tena,je, wataenda kula jikoni kwa Putin na familia zao? Think twice before talking Nonesense.
 
Yaani Russia aache kujilinda kwa ajili ya pepsi na coca? vikwazo vingine bhana
Huo mtazamo wako nauita ni MYOPIC VIEW (Mtazamo Finyu)

Hizo kampuni 3 za Coca-Cola,Pepsi na Starbucks zimeajiri wananchi wa Urusi 750,000/= kwa pamoja. Sasa hao watu ajira ndio Basi Tena,je, wataenda kula jikoni kwa Putin na familia zao? Think twice before talking Nonesense.
 
Huo mtazamo wako nauita ni MYOPIC VIEW (Mtazamo Finyu)

Hizo kampuni 3 za Coca-Cola,Pepsi na Starbucks zimeajiri wananchi wa Urusi 750,000/= kwa pamoja. Sasa hao watu ajira ndio Basi Tena,je, wataenda kula jikoni kwa Putin na familia zao? Think twice before talking Nonesense.
Kwa mtazamo wako mpana hizo ajira ni bora kuliko usalama wa nchi? sehemu isiyo na amani biashara zinafanyika? panua tena upana wa akili yako
 
Mtu yeyote anayeshabikia huu ujinga na kum support Qumer putin namuona ni kijana mdogo anayekaa sebuleni kwa shemeji yake.

Kisha pia namuona ni msssssenge tu anayepumuliwa na ku earn kipata.

Kama ujajitafutiaga hata senti moja tu ya kula utagundua jinsi gani dunia haihitaji vita.
We mpumbav hili jukwaa sio size Yako!Shenzi kabisa!
 
Coca-Cola, Starbucks, Pepsi na McDonald's zimeungana na Kampuni nyingine kusitisha Biashara Nchini Urusi kutokana na uvamizi uliofanywa Ukraine. Kumekuwepo na shinikizo kutaka Biashara kuchukua hatua kama ishara ya kupinga mateso wanayopata Wananchi

Kwa upande wao, Pepsi imesema itasitisha kuuza kinywaji na kufanya uwekezaji mwingine lakini Kampuni hiyo itaendelea kuuza bidhaa muhimu zikiwemo Maziwa na Chakula cha Watoto

======

Consumer giants including McDonald's, Coca-Cola and Starbucks have joined the list of firms halting business in Russia due to the invasion in Ukraine.

McDonald's said it was temporarily closing its roughly 850 restaurants in Russia, while Starbucks also said its 100 coffee shops would shut.

McDonald's said the move was a response to the "needless human suffering unfolding in Ukraine".

The company said it was "impossible to predict" when it would reopen.

"The conflict in Ukraine and the humanitarian crisis in Europe has caused unspeakable suffering to innocent people," chief executive Chris Kempczinski said in a memo to staff that was shared publicly.

"As a system, we join the world in condemning aggression and violence and praying for peace."

McDonald's said it would continue to pay its roughly 62,000 staff in Russia. The firm has also been experiencing supply chain issues there.

McDonald's, Coca-Cola and other companies have been under pressure to act as Russian violence against civilians has escalated.

#BoycottMcDonalds and #BoycottCocaCola were trending on Twitter on Monday and over the weekend respectively.

Dozens of well-known firms including Netflix and Levi's have already suspended sales or stopped providing services in Russia amid severe sanctions imposed by Western allies.

McDonald's established its presence in Moscow in 1990, as the Soviet Union was opening its economy, drawing thousands for its burgers and fries

As tensions with the West increased in 2014 over Russia's annexation of Crimea, some of its restaurants were shut as part of an investigation into food standards, which many saw as politically motivated.

The closure now likewise carries symbolic weight, and is likely to influence other firms

McDonald's owns a majority of its stores in Russia. Combined with Ukraine, the restaurants account for about 9% of the firm's revenue and about 2% of global sales

It has also temporarily closed its 108 restaurants in Ukraine, where it continues to pay salaries and has donated $5m to an employee assistance fund.

McDonald's said its Ronald McDonald House Charities would remain active in Ukraine and Russia.

Mr Kempczinski said the firm had made the decision over the last week. In addition to staff, the move will affect hundreds of suppliers and the millions of customers McDonald's serves in Russia each day

The fast food chain joins a growing list of western brands to cut ties with Russia over its attack on Ukraine.

Coca-Cola on Tuesday said it was suspending operations in Russia, which accounted for roughly 2% of the firm's operating revenue and income. It also has a roughly 20% ownership stake in a bottling and distribution business in Russia

Starbucks also announced it would stop all business activity in the country, including shipments of Starbucks products

The coffee chain's licensee in the country will temporarily shut more than 100 stores it operates there. The licensee, Kuwait-based Alshaya Group, will continue pay its roughly 2,000 employees, Starbucks said.

Growing backlash

Other major global brands joining the backlash on Tuesday included the world's largest music company, Universal Music Group, which said it was suspending all operations in Russia and closing its offices there

"We urge an end to the violence in Ukraine as soon as possible," the firm said in a statement sent to the BBC

Unilever, maker of Marmite, Dove beauty products and PG Tips among other brands, also said it had suspended trade with Russia and planned to halt its advertising and media spending and investments there

It said it would continue to supply "everyday essential food and hygiene products" that are made in Russia

L'Oreal, the world's biggest cosmetics company, is also shutting its stores and concessions in Russia and suspending online sales

However, some firms have have defended plans to continue operating in Russia, including Uniqlo owner Fast Retailing, whose founder told Japan's Nikkei newspaper that "clothing is a necessity of life"

Pepsi, which has a much larger presence in Russia than rival Coca-Cola, said it was halting the production and sale of Pepsi and other global brands in Russia and suspending capital investments and advertising, citing "horrific events" in Ukraine

But the company, which started operating in Russia during the Cold War and now employs 20,000 people there, said it would continue to offer other products

"As a food and beverage company, now more than ever we must stay true to the humanitarian aspect of our business," boss Ramon Laguarta said. "That means we have a responsibility to continue to offer our other products in Russia, including daily essentials such as milk and other dairy offerings, baby formula and baby food."

Source: BBC
Washatoka russia .putin is becoming more and more like Hitler I think he lost everything he will use nuclear .WW3 is imminent
 
Nana support kubwa kwa Putin kwakua NATO wanamuonea lakini ukweli mchungu, Warusi wengi wanapenda kuishi maisha ya style ya Marekani.

Ujamaa imepigwa wan wakati hasa mnapoona viongozi wenu wamekua matajiri wa kutupwa na nyinyi mume Baku masikini wa kutupwa. kwa msingi wa Ujamaa.
Nchi zilizoendelea Duniani zinatumia Mix system kama Vile Finland, Norway etc kuna ujamaa na ubepari. Ujamaa ni muhimu hasa kwenye kutoa Huduma za kijamaa kama Afya na Elimu.

Hao marekani mabilionea wakubwa wana hela Nyingi kuliko Nusu ya Taifa, zaidi ya asilimia 20 ya wamarekani ni masikini, kusoma tu Elimu ya Afya nzuri Chuo unahitaji zaidi ya dola 200,000 inabidi uingie mkopo ama upate ufadhili.

Mpaka leo nchi kama Marekani bado wanaongelea Bima za Afya kama Huku.

Nchi zenye Vimelea vya ujamaa ni bure ama Gharama ndogo kusoma. Vyuo vya serikali urusi unakuta ni dola chini ya 10,000, vyengine mpaka dola 5000 kwa mwaka gharama ambayo ni rahisi hata kwa Familia ya kati kumudu, ukijumlisha na sponsor mbalimbali hata watoto wa masikini wanasoma bure.

Hivyo mkuu ni rahisi kutamani hio lifestyle ya west ukiwa kwenye Nchi kama hizo ila ukitoka ukakumbana na huo ubepari ndio pale unajuta, kaugonjwa kama Cancer ama Figo tu kanaweza kukufilisi.
 
Biden kashajitia .USA wana mafuta number 1 duniani .Ila hawatumii wanataka kununua kwa watu .Biden was so dumb alipochaguliwa tu akakata pipe line za USA za mafuta na akampa deal Putin ..Unaona Sasa mtokeo yake
Biden kachemka sana, hata vikwazo alivyopoga avipo kimahesabu, sasa matokeo yakr dunia nzima inapata maumivu.. hii sio tabu ya Russia nchi karibia zote zinaumia kwa namna moja ama nyingine
 
Hivi vikwazo wanaiwekea Urusi au wanajiwekea wenyewe? Naweza kuelewa vikwazo vya swift, mastercard na Visa vina athari hasi ila vikwazo kama hivi vya cocacola, pepsi, google na maduka ya nguo za gharama sijui nini kinalengwa sababu hapo sasa wanaliachia soko kwa wazawa kama ilivyokuwa kwenye vikwazo vya 2014 kwenye bidhaa za kilimo.

Urusi tangu 2019 huko walikuwa wanataka internet yao ili wacontrol taarifa ndani ya Urusi, sasa Google na Twitter wanajiondoa wenyewe, ni baraka iliyoje na makampuni ya Urusi.
 
Back
Top Bottom