nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,308
- 7,366
Kwa ufupi sio raia boss wangu ukiweza tambua muundo wa mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya huwezi tilia shaka zoezi zima lililofanyika jana huko mtwara.ok labda hilo ndo uniambie wewe mi naona raia tu pale wakifanya kazi kutupia vifurushi mle basi mengine sijaona