Joshua _Ok. Mzee wakutafuna njugu minjingu (Booster).Ukipita pale Coco Beach utagundua like eneo halitumiki pasavyo.
Kwanini pasijengwe Shopping Mall kubwa ili watalii wapate nahitaji yote hapo.
Tukiwaruhusu wataanza na Super-market kesho yake watajimilikisha fukwe nzima na kusingizia uwekezaji kama ambavyo bwana Yusufu alitaka kufanya akabatizwa na Yohana.[emoji817][emoji818]Jirani kabisa na Coco-Beach kuna Village Super-Market na Target, wataliii waende huko. Pale Coco-Beach watuache watu tujilie mihogo yetu na sharubati za miwa...
Lakini kumbuka mapato yake kwa asilimia kubwa yataenda kwenye zile familiaIli Tanzania iendelee yatupaswa achana na kumbatio la umasikini, masikini, unyonge na wanyonge.
Ile sehemu ikitengenezwa vizuri tutapata zaidi kuliko sasa
Sasa unaumia nn?Lakini kumbuka mapato yake kwa asilimia kubwa yataenda kwenye zile familia
We ni choko nini..Ukipita pale Coco Beach utagundua like eneo halitumiki pasavyo.
Kwanini pasijengwe Shopping Mall kubwa ili watalii wapate nahitaji yote hapo.
Sawa mama yangu..Chekecha fuvu hilo Dada
a.k.a padri mcharoJoshua _Ok. Mzee wakutafuna njugu minjingu (Booster).