Hicho choo cha Coco Beach ni kichafu balaa sijui kwanini wanazuia watu wengine wasijenge,halafu kuna Dada linakaa hapo kukusanya Ushuru linajiona Sista Duu Balaa wakati ni libaya kama mimi na zaidi limezungungwa na harufu za Mavi.
Usiombe maji yakatike hapo ukifika chooni hakufai kwa harufu ya mavi na unaambiwa ukachote maji mwenyewe kwenye tank, hizo ndoo sasa ni chafu hazifai kama ni mtanashati au mrembo mapaparazi wakipata picha umebeba hiyo ndoo wanauzia kabisa Magazeti.
Ila hela anapokea tena kwa nyodo huku kajipiga mapoda.
Tanzania Wonders shall never end.