Cocochanel interview prep!

Mkuu, utampata 'RC' muda huu kweli? Leo umeingia 'choo cha kike'

Huu muda ni wa sisi wadau kuuliza maswali ili jamaa achambue na kuyapangilia maswali vizuri, then interview itakuwa baadae.

Maswali ya msingi yanaandaliwa majibu mapema, yale ya nyongeza na ya papo kwa papo yatakuja baadae kutokana na alivyojibu yale ya msingi.

Hivyo ni muda wetu kuuliza maswali.
 
Naomba umuulize coco baby ye ni mwanamke wa aina gani? Namaanisha kimuonekano na tabia je ni mpole hivi au vipii achana na hizi mambo za jf alivyo

Ameolewa na kama ameolewa ana watoto hivi au vipiii naendekea nitarudi tena badae sawa sawa
Sawa ma d
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…