sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,405
- 10,637
Maswali.Comrade weka swali likae vyema
1. Kwann project zake kama RC huwa haziwi endelevu mfano.kukamata omba omba,mashoga,madawa ya kulevya kwann huwa hazina muendelezo?
2.hii ID ya cocochanel inauhusiano gani na ile ya Lemutuz ?
3.Naomba pia wanajukwaa atufahamishe ana elimu gan na ameisomea wapi?
Ni hayo tu mkuu SEPETU