Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unayechezea simu ya Shunie, naomba uirudisheNaomba umuulize coco baby ye ni mwanamke wa aina gani? Namaanisha kimuonekano na tabia je ni mpole hivi au vipii achana na hizi mambo za jf alivyo
Ameolewa na kama ameolewa ana watoto hivi au vipiii naendekea nitarudi tena badae sawa sawa
LogicMkuu siku zote kwenye kuandaa shamba wengi hawataenda shambani,ila kwenye kuvuna sasa....
Mwifwa anaugulia kifungo huko.Ndio Sergio,youngblood,Beira,mwafwi nanyi pia ni true comrades!
Shukran dear jap nimechelewa[emoji24][emoji24]
Habarini wana jamvi
Kutokana Na ushauri Wa wadau ambao kwa kiasi kikubwa unajenga,
Tumeona ni vema tukawa Na utaratibu mzuri Wa uendeshaji Wa interview (mkabala) hapa jf.
Hii kwa kiasi Fulani itapunguza uholela Na malalamiko yasiyo ya lazima.
Tungependa kila mmoja wetu ajisikie inclusive ktk mikabala yetu
Na awe Na haki Na kushiriki bila bhugha!
Sasa Basi utaratibu ni huu,
Tutakuwa tunawajulisha nani yupo katika interview siku husika masaa matano kabla,ambayo tutatumia kukusanya maswali Na kuyachambua Na kumtumia interviewed maswali kumi ya msingi ambayo atayaandalia majibu mujarabu.
Kisha nusu saa kabla ya muda rasmi tutabandika Uzi Wa interview, ili kutoa taarifa Na watu kupata nafasi nzuri ya ushiriki.
Mgeni ataulizwa Na host maswali kumi au host atavyoona inafaa kisha
Atairuhusu hadhira (audience) kuuliza maswali ya randomly!
Kwa leo tunataraji cocochanel kuwa
Nasi jioni aghalabu kuanzia saa kumi Na nusu jioni.
Kwa hiyo tunakaribisha maswali ya maana ambayo unadhani linafaa kuwa swali la msingi Na kunufaisha
Wengi.
Asanteni.
Regards,
DJ sepetu.
Poa poa DJAsante mkuu ila mm ni DJ sepetu Na sign yangu ni muosha rungu.
Aaah nilijua chombezo zimepigwa marufuku leo udugu wangu njooni shunie emmyta linamo numbisa cab sakayo ney stabe woman piten hukuKiukweli shunie Na wenzako nawakubali sana naomba chombezo za hapa Na pale ziwepo ili kunogesha interview nyie ni watu muhimu sana ktk interviews Na nikili kuwa mmeifikisha hapa!
Mbaya zaidi wametupachika na jina baya kabisa eti sisi team......[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Hapana watu wanaongea sana ujue kuhusu sisi ndio mana leo unaona tupo kimya acha tuwaachie tu tuwe wasomaji sisi tunashkuru kwa kuona umuhimu wetu
ahaa kumbe afu nina ushaur kidogo kiongoz jitaid uwe unapiga show then unapitisha siku japo moja siyo kila kilaHuu ni Uzi Wa preparation hasa kuchukuwaa maswali ya msingi thread ya interview itabandikwa
Nileteee emmyta numbisaKweli kabisa,maana wengine hawaji kwenye interview kuafatilia mahojiano bali kutafuta sababu ya kututolea mapovu
Team ubuyu[emoji23][emoji23][emoji23]Mbaya zaidi wametupachika na jina baya kabisa eti sisi team......[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sawa kuanzia next weekahaa kumbe afu nina ushaur kidogo kiongoz jitaid uwe unapiga show then unapitisha siku japo moja siyo kila kila
Kwa mfano show ikiwa jumatatu jumanne mapumuziko then unapiga jumatano
Ni ushaur tu lakin siyo lazima uufate
Yaan kazi kweli kwelTeam ubuyu[emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeee [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] nimekuwaje kwaniWewe unayechezea simu ya Shunie, naomba uirudishe
Nashkuru umeliona hilo ndugu halafu wanaanza kututolea povu woiiiiiKweli kabisa,maana wengine hawaji kwenye interview kuafatilia mahojiano bali kutafuta sababu ya kututolea mapovu