Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Huyo mnamibia chibu anacheza mechi za nje tuAiseee pata hela uonekane mzuri,kila mdada anajiweka cheap kwa chibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mnamibia chibu anacheza mechi za nje tuAiseee pata hela uonekane mzuri,kila mdada anajiweka cheap kwa chibu
Umeonaee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu si upo juu
Woiiiiii nimetoka kapa [emoji134] [emoji134] [emoji134]Yule aliyekuwa anamsahihisha maneno[emoji87] [emoji87]
Utakuta wanapita kimya kimya na kuzimia nyuma ya keyboard[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapoo
Jamaan [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tena ile kupaliwa halafu unalia kabisa
Huyo ndio zakeHalafu zari kama kawaida yake katema povu snap nasikia
Naongezea.
Binti SakayoHahaha
[emoji23][emoji23][emoji23]usinikumbushe kipindi kile
Ile ban ilituuma ujue
Nimekuona unamwambia muosha masufuria aulize maswali [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hahaha
Na wewe pia ulipewa ban[emoji23][emoji23][emoji23]usinikumbushe kipindi kile
Ile ban ilituuma ujue
[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]Nilimuona anapenda kujiweka mstaarabu kupita wenzie
Alikuwa anataka kuanza umbeaNimekuona unamwambia muosha masufuria aulize maswali [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeonaee
Ila hili povu la safari hii sijui ni sabuni gani ileHuyo ndio zake
WoowBinti Sakayo
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] umbea tena si hawatakiAlikuwa anataka kuanza umbea
Ulikuwa unatajwa kila siku,ilibaki kidogo tuandamane hadi kwa modsIlinipa puresha daah nilimiss likes,niliwamiss kweli