Siku hizi yuko jukwaa la siasa zaidi, jukwaa la mapenzi limemchosha naonaUpo wapi siku hizi dogo?
Nipo tu coco kitaa flani
Siku hizi yuko jukwaa la siasa zaidi, jukwaa la mapenzi limemchosha naona
ha haha haha[emoji115]Tumekwisha!!!...kwa hiyo maadui wote wa bashite wanaojificha nyuma ya keyboard kwa ID fake hapa JF unawajua A to Z???[emoji32][emoji32][emoji32]
haha haha daaaah watu wa JF Kweli bangeMkuu mgeni wetu nina aleji nae sitaweza kuhudhuria naomba udhuru.
hakikaOoh kumbe
La siasa ni burudani nzuri zaidi..