DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
- Thread starter
- #121
Hahaha!Mimi uwa sifikirii kama nina maadui, bali nawachukulia kama watu wanaopenda kunichakachua kivyovyote na hii inanipa motisha zaidi kubetter myself. Nawaona kama fans wangu
Siku zote naamini maadui siku zote ni watu walio nyuma yako kwenye mambo tofauti kama kukuonea wivu kwenye lolote maishani mwako ambacho hawana kama wewe.
Nikitoweka watanimisi kwasababu hawatakuwa na mtu wa kuwapa challenge wao kujiongeza. Na pia watayakumbuka mazuri yangu na nilivyowakimbiza na kuyaongelea.
10.ni mtihani gani mgumu umewahi upitia maishani ila ukaja kugeuka kuwa jambo la thamani na unalojivunia!
Legacy yako,unataka iweje yaani alama zipi utaacha duniani kuonesha vizazi,cocochanel alikuwepo?