Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Hahaha!
10.ni mtihani gani mgumu umewahi upitia maishani ila ukaja kugeuka kuwa jambo la thamani na unalojivunia!
Legacy yako,unataka iweje yaani alama zipi utaacha duniani kuonesha vizazi,cocochanel alikuwepo?
 
Hivi ni mimi tu ama?
Simuelewi anachoandika kwa kweli

|No hard feelings|
 

Seriously??
 
Hahaha!
10.ni mtihani gani mgumu umewahi upitia maishani ila ukaja kugeuka kuwa jambo la thamani na unalojivunia!
Legacy yako,unataka iweje yaani alama zipi utaacha duniani kuonesha vizazi,cocochanel alikuwepo?

Mimi kuna kipindi wazazi walikuwa nje ya nchi nasi kwa miaka michache. na hivyo ilikuwa ngumu sana walipotaka tusome shule za Tanzania.. nikaenda kusoma boarding school niliona kama nitashindwa kumudu na pia kwa kuishi nao mbali.. ila kwa kweli nilipokua niliwaelewa sana pamoja na kuwa na pesa za kutusomesha nje huko au nje ya ulaya n.k. hii kitu siijutii leo hii hasa baada ya kuja kusoma nchi za ulaya baadae.
Ilinifundisha mengi ya maisha na hivyo tangu sekondari hadi leo nikiwa nyumbani kwa wazazi ni kuwatembelea tu tangu warudi nchini miaka sasa.
Unajua ile ya kuwa independent woman basi hiyo najiona nimo
 
Hahaha!
10.ni mtihani gani mgumu umewahi upitia maishani ila ukaja kugeuka kuwa jambo la thamani na unalojivunia!
Legacy yako,unataka iweje yaani alama zipi utaacha duniani kuonesha vizazi,cocochanel alikuwepo?

Napenda kumshukuru Mola kwa malezi niliyopewa katika kufundishwa mengi pia ya maishani na kuaminiwa na wazazi kuwa akili tulibarikiwa wote.. ni furaha sana kwangu.
Hii kitu nataka sana niipitishe kwa wanangu na kuhakikisha wao na cousins wao nao wanakuja kuacha mengi mazuri.
Hapa mfano mmoja ni sisi kuwa na marafiki wa kifamilia na kuheshimiana nao hadi leo hii kuishi vizuri katika shida na raha.. na wengine kwenye jamii na kutokuwa na maringo yotote ukibarikiwa au lolote kuishi vizuri na watu ambao huwezi kuona tofauti yangu kwao labda ujue. Na kuwaachia ya kuweza kujimudu mwenyewe kimaisha na kutokuwa mvivu na kujiamini kuanzia kwenye masomo, kikazi, kutokuwa na tamaa, kujali kujijengea jina kikazi na kibiashara bila kupitia mikato isiyo na maana na yakukushusha.

Bila kusahau kushindana na wanaume kwenye masomo kutafuta maksi za juu.. ha ha haaaaa niliwapa umiza vichwa.. kujiamini na kutokuogopa mtu huku ukiwa na heshima pia.
 
Asante karibu kujibu maswali ya audience
 


Naona interviewee anazd kujidhihirisha kuwa yeye ni lemutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…