Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Sema geezy mabovu naye alikuwa anaimba ngumu balaa
Habari wakuu.. naomba kuuliza ni Benki gani nzuri kwa ajili ya mkopo ukiwa ni mfanyakazi wa serikali.
Bank ya damuHabari wakuu.. naomba kuuliza ni Benki gani nzuri kwa ajili ya mkopo ukiwa ni mfanyakazi wa serikali.
Mkuu ile ngoma ya pig black ambayo beat yake alikuwa anaitumia Mr MVP yule wa wasafi katika kile kipindi cha the playlist cha youtube enzi hizo, hiyo ngoma inaitwaje?Kumzidi pig black mzee wa nini mnataka mazee??
Mkuu ile ngoma ya pig black ambayo beat yake alikuwa anaitumia Mr MVP yule wa wasafi katika kile kipindi cha the playlist cha youtube enzi hizo, hiyo ngoma inaitwaje?
Hapana achana na hiyo, kile kipindi kilikuwa youtube ngoja nikuwekee link beat liko mwanzo kabisa wakati kipindi kinaanzaHiko kipindi sikifahamu maana sisikilzi radio mda ila ngoma inaitwa nini mnataka mazee by pig black
"Lini uta-retire uje kuuza mitumba lango,Lini utastaaafu kuuza mitumba. Maana yake hajastaafu kuiuza hadi sasa. Hapo vipi?
B.O.T ndiyo nzuriHabari wakuu.. naomba kuuliza ni Benki gani nzuri kwa ajili ya mkopo ukiwa ni mfanyakazi wa serikali.