Code gani ametumia Fid Q?

Code gani ametumia Fid Q?

Kumzidi pig black mzee wa nini mnataka mazee??
Mkuu ile ngoma ya pig black ambayo beat yake alikuwa anaitumia Mr MVP yule wa wasafi katika kile kipindi cha the playlist cha youtube enzi hizo, hiyo ngoma inaitwaje?
 
Mkuu ile ngoma ya pig black ambayo beat yake alikuwa anaitumia Mr MVP yule wa wasafi katika kile kipindi cha the playlist cha youtube enzi hizo, hiyo ngoma inaitwaje?

Hiko kipindi sikifahamu maana sisikilzi radio mda ila ngoma inaitwa nini mnataka mazee by pig black
 
Hiko kipindi sikifahamu maana sisikilzi radio mda ila ngoma inaitwa nini mnataka mazee by pig black
Hapana achana na hiyo, kile kipindi kilikuwa youtube ngoja nikuwekee link beat liko mwanzo kabisa wakati kipindi kinaanza
 
Lini utastaaafu kuuza mitumba. Maana yake hajastaafu kuiuza hadi sasa. Hapo vipi?
"Lini uta-retire uje kuuza mitumba lango,
Una Roho mbaya Hadi leo hujamkumbuka Rado"

Pamoja na u star wako Ila iko siku utashuka(ndio anauliza,Lini utashuka urudi kuuza mitumba lango{kazi yake ya zamani}
Una Roho mbaya hadi leo hujamkumbuka rado(mwamba walie hustle nae kabla ya kuwa star na kum bwaga baada ya ustar)
 
Back
Top Bottom