Code za Uchawi na Miujiza; Fahamu haya machache


😃😃😃😃

Sijawahi kuwa Mchawi Mkuu
 

Kweli kabisa Mkuu
 
😃😃😃😃

Sijawahi kuwa Mchawi Mkuu
Huenda ni kweli, ila ungekuwa mchawi je ungekubali.

Jambo moja linalofanyika hapa kwenye mada yako inaonekana unatumia hii platform ku recruit potential witches.

Tunajua ukifanikiwa kumuingiza hata mmoja tu status yako inapanda kule kwenye " kilinge"

Wewe huelimishi unataka watu wajiunge huko. Ni mtu hatari sana.

Ndio maana umeacha mawasiliano.
 


Makala zangu zote naacha mawasiliano
 
Sawa mkuu. Huwezi kujua haya bila kuwa mchawi wa rank fulani. Wewe uko uchawi wa rank gani mkuu?. Ili nijua kabisa nichague niwe mchawi wa level yako au nikuzidi
Kufahamu elimu ya uchawi sio lazm uwe mchawi.kujua ufundi wa gari si lzm uwe fundi.Unapokijua kitu means Ili kujilinda kisikudhuru
 
Post zake ni lzm atoe namba hata fb
 
Uchawi una nguvu Sana pasipo na elimu, maarifa na teknologia thus afrika umetamalaki zaidi kuliko ulaya au nchi ziliondolea.Hata kama upo ni kwa ajili ya maendeleo.
 
Inasemekana kuna "watumishi" "manabii" ambao hutumia nguvu za giza kutenda miujiza wakiwa kwenye nyumba za ibada, na vitu kama mafuta ya upako, keki, na maji hutumika. Kwasababu hivi vitu huweza kumsaidia mgonjwa kupona, sasa hapo huoni kama miujiza imepatikana kwa nguvu za giza
 
Nimeishia kusoma uliposema ni nguvu iliyotoka kwa Mungu mwenyewe
 
True wengi tu kina TB joshua, Bushiri,nk kuna international tradition healer gwiji wa vuduu jina Nana Kwaku Bonsam toka Ghana kawapa power wachungaji wengi sana duniani ya kufanya miujiza na kujaza makanisa.
 
Kwanini uchawi haijawahi kutufaidisha watu weusi?


Mambo mengi hayajatufaidisha, sio uchawi tuu.

Miungu na mizimu pia haijatufaidisha.
Rasilimali Kama Madini na ardhi hayajatufaidisha,
Hali ya hewa nzuri Kwa kilimo haijatufaidisha

Sababu kuu ni ujinga
 
Nimeishia kusoma uliposema ni nguvu iliyotoka kwa Mungu mwenyewe


Hakuna kisichotoka Kwa Mungu.
Vyote ni vyake.
Ameviweka na kuviwekea mipaka ya matumizi.

Ukitumia hivi alivyosema utumie unatenda wema.
Ukitumia ambavyo hajakuagiza unatenda mabaya.

Ukimsikia Mungu usifikiri Kwa akili ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…